B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 569
- 781
natanguliza shukran wadau.
Kuna namba naiona kwenye simu ya shemeji/wifi yenu mara kwa mara. Haijaseviwa ila inaonekana imepiga na mara moja moja imepigiwa.
So kuna app gani naweza ku'install kwenye simu ya wifi/shemeji yenu ili niweze kujua maongezi yanayoendelea? Shemeji/wifi yenu sio mwerevu Sana kupekua simu. Anachojua ni kupiga, kupokea, kuchat whatsapp tu.
Comments ziwe fupi fupi tafadhali
Kuna namba naiona kwenye simu ya shemeji/wifi yenu mara kwa mara. Haijaseviwa ila inaonekana imepiga na mara moja moja imepigiwa.
So kuna app gani naweza ku'install kwenye simu ya wifi/shemeji yenu ili niweze kujua maongezi yanayoendelea? Shemeji/wifi yenu sio mwerevu Sana kupekua simu. Anachojua ni kupiga, kupokea, kuchat whatsapp tu.
Comments ziwe fupi fupi tafadhali