Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,714
- 6,036
Ni ujinga kupoteza miaka yako jela kisa mke malaya. Huku uraia marafiki zako wataanza kumgonga tena.
Ni ujinga kupoteza miaka yako jela kisa mke malaya. Huku uraia marafiki zako wataanza kumgonga tena.
Siyo mke WAKO tena kama masela wanakula mzigo. Kuna kitu kinaitwa DIVORCE kipo kwa ajili ya kesi kama hizo. Mwanamke ni binadamu mwenye akili timamu na siyo mali yako ukishaanza kuwa na mindset hiyo huwezi kuingia kwenye maugomvi kisa mke au mchumba.Kwamba uko tayari kushuhudia mke wako akitombwa kwenye kitanda chako. Anageuzwa chuma mboga, popo kanyea mbingu, itege inase!!!
HatupoiRombo again
weka hapa anayetaka atachukuaWanaotaka namba za mbususu zipo
Mke wa Mtu Sumu KaliDah jamaa ni katili sana hata hajafumania mbususu ikiliwa na wala hakumuonya yeye ni kufanya appointment ya kumuingiza mtegoni na kumuua tu. Dah Dunia hii ina watu makatili sana
Alijisalimisha au alijiangamiza!?baada ya mwanaume huyo kufanya mauaji alijisalimisha mwenyewe polisi.
Aah!kumbe ww sio ke mkuu?lkn c unajua ni vibaya mwanaume kusemea vitu vya wanawake tena vya ndani kiasi hicho....jarbu ku act as a gentle na si kila kinachosemwa na mwamamke ni cha kuaminWanawake wenu waliutangazia ulimwengu kuwa kazi hamuwezi, hivyo inabidi wapate huduma kutoka nchi jirani.
Dunia inatambua wanaume wa Rombo hamna kitu. Na awezaye kuthibitisha hilo ni wanawake wa Rombo, na walishathibitisha hivyo wala haihitaji mjadala.A
Aah!kumbe ww sio ke mkuu?lkn c unajua ni vibaya mwanaume kusemea vitu vya wanawake tena vya ndani kiasi hicho....jarbu ku act as a gentle na si kila kinachosemwa na mwamamke ni cha kuamin
yawezekana dogo alishagegeda sana kutokanq chati zao, hivo mume akaona isiwe tabu wagawane majengo ya silikali tu,kweli mkuu lakini jamaa ilibidi amuonye tuu ikiwezekana amfikishe hata kituo cha polisi akamshitaki kwasababu ushahidi alikuwa naoo.
mke nae kazomewa na wamama wenzie kajinyonga kaokolewa akaona isiwe kesi akaamua kupiga toti ya muparaxonMkazi wa kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kufumaniwa akitaka kufanya mapenzi na na mke wa mtu.
Taarifa zinadai kuwa kijana huyo aliyeuawa alikuwa akichati na mke wa mtu ambapo baadaye mume wa mwanamke huyo, Riziki Shirima (22) alidaka simu ya mkewe na kukuta meseji za mapenzi.
Baada ya kukuta meseji hizo, mwanaume huyo aliweka mtego kwa kuendelea kumtumia meseji kijana huyo aliyeuawa, akijifanya yeye ndio mwanamke huku akimtaka kuja nyumbani jambo ambalo alifanya hivyo.
Baada ya kijana huyo kufika nyumbani alianza kushambuliwa kwa kukatwa mapanga na baadaye kufariki dunia.
Kamanda wa Polisi Mkoani wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio ambapo amesema tukio lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 4 na kusema baada ya mwanaume huyo kufanya mauaji alijisalimisha mwenyewe polisi.
"Ni kweli hili tukio limetokea katika kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo ambapo mwanaume alimfumania mkewe nyumbani kwake akiwa na huyu kijana aliyeuawa wakitaka kufanya mapenzi," amesema Kamanda Maigwa
Kamanda Maigwa amesema jeshi la polisi linaendelea kumshikilia muuaji baada ya kujisalimisha mwenyewe polisi.
Chanzo cha Habari ni Mwananchi online
Hapa kapata faida gani? Yeye na marehemu wako sawa, hawatampata tena huyo bibie.Mkazi wa kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kufumaniwa akitaka kufanya mapenzi na na mke wa mtu.
Taarifa zinadai kuwa kijana huyo aliyeuawa alikuwa akichati na mke wa mtu ambapo baadaye mume wa mwanamke huyo, Riziki Shirima (22) alidaka simu ya mkewe na kukuta meseji za mapenzi.
Baada ya kukuta meseji hizo, mwanaume huyo aliweka mtego kwa kuendelea kumtumia meseji kijana huyo aliyeuawa, akijifanya yeye ndio mwanamke huku akimtaka kuja nyumbani jambo ambalo alifanya hivyo.
Baada ya kijana huyo kufika nyumbani alianza kushambuliwa kwa kukatwa mapanga na baadaye kufariki dunia.
Kamanda wa Polisi Mkoani wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio ambapo amesema tukio lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 4 na kusema baada ya mwanaume huyo kufanya mauaji alijisalimisha mwenyewe polisi.
"Ni kweli hili tukio limetokea katika kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo ambapo mwanaume alimfumania mkewe nyumbani kwake akiwa na huyu kijana aliyeuawa wakitaka kufanya mapenzi," amesema Kamanda Maigwa
Kamanda Maigwa amesema jeshi la polisi linaendelea kumshikilia muuaji baada ya kujisalimisha mwenyewe polisi.
Chanzo cha Habari ni Mwananchi online
mahakimu huwa hawana mchezo na kesi za kuuwa.Huyo atanyongwa! Kesi itachukua sio chini ya miaka 10 kutolewa hukumu na kwa kuwa ameua kwa makusudi mazima adhabu iko wazi; kunyongwa hadi kufa. Ndio hivyo tena maisha yake naye ndio hivyo.