Nyakitagara
Member
- Feb 7, 2019
- 49
- 81
Habari za jioni Jukwaa,
Naomba msaada wa kuzuia wezi wa nyaya za umeme, mwezi mmoja umepita nimefanya wiring kwenye nyumba yangu na sasa inanibidi nirudie tena hii ni baada ya mwizi wa waya kuingia na kukata kata nyaya kwenye main switch na juu kwenye dali, inasikitisha sana pale unapofikiri umemeliza hatua na unarudi tena nyuma hatua kumi. Ni nani wanaonunua nyaya hizi na kufanya wengine tupate hasara kubwa?
Na hii imetokea na kwa jirani yangu week hii.
Nawezaje kupambana na hawa wahuni?
Naomba msaada wa kuzuia wezi wa nyaya za umeme, mwezi mmoja umepita nimefanya wiring kwenye nyumba yangu na sasa inanibidi nirudie tena hii ni baada ya mwizi wa waya kuingia na kukata kata nyaya kwenye main switch na juu kwenye dali, inasikitisha sana pale unapofikiri umemeliza hatua na unarudi tena nyuma hatua kumi. Ni nani wanaonunua nyaya hizi na kufanya wengine tupate hasara kubwa?
Na hii imetokea na kwa jirani yangu week hii.
Nawezaje kupambana na hawa wahuni?