Mkuu. Kuna ile Happy Nation. nyuma iliandikwa Sauti ya Manka. Dereva alikua anavaa kapero. Ile ilikua komeshaaa..... Na Happy nation nyingine iliandikwa Bussines Class ndo zilikua Bus zangu nikiagzwa Mbeya Kwa wakat huooo. Company etu ipo huko kikaz. Saa kumi upo Mkoaaa.
Sent using Jamii...
Ile ni Alama ambayo ukiwatafuta waJuvi wa mambo watakwambia maana yake. Sh 500/= ya noti ina Alama kama hiyo. Je Jero inatumika katika mambo ya Uponyaji?
kwanza nianze kwa kuwapongeza Tanesco kwa Huduma nzuri. mwaka Jana huku kwetu mlifanya mabadiriko ya Mita kwa sisi watu wa mita za kawaida tukawekewa mita za Luku. sasa Tatizo ni kwamba karibu wateja wote tumewekwa katika kundi la viwanda yaan Tariff 1 na wengi wetu hapa tuna matumizi ya kawaida...
Nlipo anza tu kusikia taarifa zake nkajua AMEPANIC. hakuna cha maana alicho kiongea. #manenoYaMkosaji. Hana tofaut n Ule Mlimbwende. Kutaja majina ya watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.