Consigment ya mapanga na visu vya UN,vilipitishiwa tanzania kwa askofu fulani hivi na yeye ndo akafanya mipango ya kusafirisha hilo kontena kulipeleka Rwanda,yale mauaji yalikuwa fore planned.ukitaka kuufahamu ukweli wa vita ama social phenomena yoyote usiangalie aftermath angalia logistics.jiulize silaha zilitoka wapi,jiulize media zilitumikaje kuchochea and who was behind it.Jiulize kwanini nchi jirani,UN,AU na jumuia ya kimataifa ilikaa kimya.hii kitu ilipangwa itokee kama secesion ya sudan na vita vinanvyoendela south sudan kwa sasa,kuna mtanzania kawa bilionea kwa biashara ya silaha za magendo na anafahamika.
Leta vivid example tukuamini
Inaitwa Sometimes In AprilMimi niliangalia movie nadhani ilikuwa inaitwa APRIL tareh nimeisahau nililia hatarii japo sijui kama ilikuwa kweli au kuigiza tuu. Ila ilitisha
tupe hiyo japo Kwa ufupi mkuu.Nilipewa story na aliye kimbia ayo mauaji ilikuwa inatisha sana paka leo uwa atamani kurudi rwanda
Nadhani mada hapa ni mauaji ya Rwanda na siyo mengine. Ila kwa vile wafuatiliaji wapo na wamekuja na maoni hayo isichukuliwe kama tunajadili Imani za watu. Tuendelee na kilichotokea Rwanda na jinsi ya kuzuia isije ikajirudia tena.Kwa idadi ya waumini rwanda zaidi ya 90% wakristo.kule misikiti hakuna.so watu wengi walikimbilia makanisani.wauaji waliwafata huko huko kanisani wakawaua.
kingine ni kuwa unakuta kasisi ni mhutu na wanauliwa watusi kwachuki tuy.ivo aliweka pembeni imani yake ili auwe kikabila.iloo tuu.
Ila wewe jiulize huko middle east na kwingine wanaua kwa kumtukuza nani wa dini ipi?
Tuweke kumbukumbu sawa. Hivi wakati mauuaji yale yanafanyika, waliokuwa madarakani walikuwa Wahutu au Watutsi?Ile vita inatisha jama, kama si kagame kujitahidi kupambana kuingia Kigali ile nchi ingefutika yote. Waasi wa kihutu wao nia yao haikuwa kushika nchi bali kuwateketeza watusi waliowapachika jina la "mende".Lkn nia ya kagame kama ilivyo kwa viongozi wengi wa kiafrika ilikuwa ni kushika madaraka ya nchi.Hii nia ya kagame ndio ilileta ukombozi wa nchi vinginevyo ingekwisha kwani waasi hawakutaka kushika nchi bali kuteketeza jamii nyingine