Jinsi pombe ilivyo niaibisha..

Jinsi pombe ilivyo niaibisha..

Pombe zina wa2 wake bwana mtu anashusha kreti hatikisiki akinyanyuka toi karudi ameanza kreti ya pili ila ukisubiri mpaka cku ya harusi utaumbuka
Wewe mm mtoa post niko level ya PHD ila pombe ikiamua kukuaibisha unaweza zima hata kwa bia mbili..halafu mm nilikuwa sinywi bia nilianza na whsky..ndo zilizoleta balaa
 
Hahahahaha!!

Kama nakuona vile mkuu ukikamatia chini.

Yaani jaribu kuvuta picha jinsi walevi wanavyochezega wakiwa wamelewa.

Kama ni wimbo wa kamatia chini walai walikuwa sawa kukukamata na kukutoa nje kukufunga kamba.
Yn mpaka nauchukia
 
Mpaka kufungwa kamba ukute ulishaanza kusaula halafu kwa design hii mkuu utakua ulikua unaenda kucheza kati halafu unacheza mpaka maneno ya mc na mziki ukikatishwa unaenda kuwapa maharusi mikono kisha unaenda kwa DJ kudai kamatia chini irudishwe
 
Mpaka kufungwa kamba ukute ulishaanza kusaula halafu kwa design hii mkuu utakua ulikua unaenda kucheza kati halafu unacheza mpaka maneno ya mc na mziki ukikatishwa unaenda kuwapa maharusi mikono kisha unaenda kwa DJ kudai kamatia chini irudishwe
mbavu zangu
 
Your so fun.pombe haina unguli mkuu . pole sana ila utasahau tu
 
Gambe noma asee, kuna siku nilimletea pira mshuwa wangu tukataka kuzichapa kabisa wazee wakanishika wakanitoa

Alafu pombe yenyewe sasa alikua kaninunulia mwenyewe, sema nashukuru Mungu kesho yake tuliamka kama kawa tukaenda kugonga supu kwa mama farajii kama vile hamna kilochotokea jana yake.

Ndo maana namkubali sana huyu dingi la kinoma.
 
Mkuu nimecheka sana nimejaribu tuukuwaza ulivokuwa unacheza mpaka kufungwa kamba lol
 
Gambe noma asee, kuna siku nilimletea pira mshuwa wangu tukataka kuzichapa kabisa wazee wakanishika wakanitoa

Alafu pombe yenyewe sasa alikua kaninunulia mwenyewe, sema nashukuru Mungu kesho yake tuliamka kama kawa tukaenda kugonga supu kwa mama farajii kama vile hamna kilochotokea jana yake.

Ndo maana namkubali sana huyu dingi la kinoma.
sema ni vile hamkuzichapa ila mngezichapa halafu ikatokea ukamshinda kesho yake ungeipata hakuna rangi ungeacha ona
 
Back
Top Bottom