Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Huu ni mchango wa Bashe mbunge wa nzega.

Hataki serikali itumie fedha za makusanyo kufanyia miradi na mfano alioutoa ni ujenzi wa Reli ya Kati ambayo imekuwa ni kiunganishi kikubwa kati ya mikoa ya mashariki na magharibi .
Badala yake anataka serikali itumie PPP.
 
Gharama za vyakula kweli zipo juu..uongozi uliopo madarakani..angalieni miradi ambayo italenga moja kwa moja maendeleo ya MTU mwenye kipato cha chini..wataalamu wa uchumi mtusaidie..maisha ni magumu sana.wananchi ni waoga kusema ukweli.hali ni ngumu.
 
Nilimsikia Rais Museveni atachangia SGR.
Uturuki wamesaini mkataba kusaidia ujenzi wa SGR.
JMT watachangia pia hivyo PPP itafanya kazi hapo.
Watunga sheria wetu wanayajua vizuri sana, tatizo wanacheza na maneno kuibua hisia kutoka kwa wananchi.
 
PPP iko wapi mpaka sasa.

Sekta binafsi kwa taifa letu baado sana. Watu wanafikiri Ulaya na Marekani walianza na PPP!! Walianza kama sisi na mwisho sekta binafsi wakaona inawalipa ndo wakaanza kuendesha.
Huu ni mchango wa Bashe mbunge wa nzega.

Hataki serikali itumie fedha za makusanyo kufanyia miradi na mfano alioutoa ni ujenzi wa Reli ya Kati ambayo imekuwa ni kiunganishi kikubwa kati ya mikoa ya mashariki na magharibi .
Badala yake anataka serikali itumie PPP.
 
Back
Top Bottom