JPM keshawaambia yeye ni dereva makini. imbeni, lieni, tukaneni, sinzieni fanyeni lolote. ila uhakika ni kwamba atawafikisha, tena atawafikisha salama salimini. kwa hiyo, tulizeni mzuka, hata mkilalamika vipi, mtafika tuu, 2025 sio mbali sana panapo majaaliwa.
hayo mengine mnapoteza muda tu bure, JPM hakwamishwi, mtakwama nyie msioona hata zuri moja la serikali ya CCM.
kama vipi mi nawaomba UKAWA MFE kwanza, siku ikiingia serikali ya UKAWA madarakani (nadhani mwaka 3000) ndio mfufuke pengine serikali yenu itafanya mnavyotaka nyie.
UKAWA wakubwa nyie.