Recent content by kwani nini bana

  1. K

    Aliyefungwa maisha achezea kichapo hadi kufa na bwana jela leo hii gereza kuu Arusha

    Hivi wewe na hao majambazi wenzako mnapoua raia wasio na hatia na kuwapora mali zao nani mbona huwa hamuwaiti watetezi wa haki za binadamu? au kwenu binadamu ana tafsiri tofauti? Pumbafu sana wewe kwanza umetoka lini gerezani fisimaji wewe?
  2. K

    J. K Nyerere: 'Malecela na Lowassa hawafai urais Tanzania'

    Mimi nakubaliana na wewe kwa msingi kwamba Ndg mtoa mada tangu mwanzo amekuwa akiwaponda sana EL na Malechela kwa kigezo cha mwalimu alisema. Kama Mwl alisema na ikathibitika hivyo ni hatua gani iliyochuliwa? Inavyoonekana mtoa mada ana ajenda yake ambayo nalazimika kuamini kwamba kwa mada...
  3. K

    Mh. Joseph Selasin: Asante Rais Kikwete

    Ni utamaduni mzuri kushukuru au kutoa pongezi kwa jambo jema lililofanyika bila kujali ni nani aliyefanya. Sio zaidi ya hapo ndg yangu.
  4. K

    This is very new FACEBOOT.com

    Weledi uko api hapo? Hivi kwanini huyu ndugu polisi amuadhibu mtuhumiwa badala ya kumkamata, kukusanya ushahidi dhidi yake, kumpeleka mahakamani na akamtolee ushahidi madhubuti ili haki itendeke? Hata katika ushikaji wa chombo cha kurusha vitu vizito hakuna weledi kwani yale yale ya Mwangosi...
  5. K

    Itachukua zaidi ya miaka mia kumpata wa kufanana na wewe

    Endelea kupumzika kwa amani Mwl J K Nyerere
  6. K

    Wasalamu.....

    Hii ni ID yako ya ngapi? Lengo lako litajulikana muda si mrefu, maana haya ni maandalizi. Tunasubiri post yako inayofuata.
  7. K

    Mh. Joseph Selasin: Asante Rais Kikwete

    Vijana hizo roho za kwa nini mpaka lini? Mh Selasini amesema ukweli wake wewe unapata shida gani? Kama serikali ya Mh Kikwete imefanya jambo jema waache wasifiwe, tatizo nini vijana mnapenda kulaumu tu? Mbona hizo barabara alizojenga Mh Kikwete ndizo mnazitumia kufanyia maandamano yenu? Au...
  8. K

    Treni Imeanza Kazi Dar Es Salaam (Dar Subway)

    Usafiri wa treni jijini Dsm utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza tatizo la usafiri hasa muda wa asubuhi na jioni endapo tu utakuwa ni mpango endelevu. Haya ndio tunaita maendeleo, yaani katika hatua moja kwenda hatua nyingine iliyo bora zaidi. Chonde chonde Mh. Mwakyembe kesho msije sema mara...
  9. K

    Wanaume tuna Kazi Mweeeeee

    Kuhusu kubeba hiyo mizigo hakika with me no problem at all - ni moja ya namna ya kuonesha upendo kama mmoja wa wachangiaji alivyosema hapo juu. Lakini mbona dada anatabasamu zuuuuri wakati kaka hana tabasamu usoni. Unafikiri anawaza nini? ..... wallet yake ha haa haa
  10. K

    Mwenye updates kuhusu rulling ya rufaa ya mh. Lema tafadhali

    Mwana jamvi yeyote mwenye updates kuhusu rulling ya rufaa ya Mh. Lema tafadhali atujuze. Natanguliza shukrani.
  11. K

    Mwenye updates kuhusu rulling ya fufaa ya mh. Lema tafadhali

    Mwana jamvi yeyote mwenye updates kuhusu rulling ya rufaa ya Mh. Lema tafadhali atujuze. Natanguliza shukrani.
  12. K

    Ubungo: Wanajeshi wampa kisago traffic police...!

    Issue hapa si "kama polisi wote duniani wanaweza au hawawezi kushindana na wanajeshi". Suala la lililopo mezani ni aibu ya JWTZ kumpiga askari wa trafiki akiwa kazini anaongoza magari. Hoja yangu ni kwamba haikuwa sawa kwa akari hao wa JWTZ kufanya walichokifanya kwa sababu sababu jam...
  13. K

    Ubungo: Wanajeshi wampa kisago traffic police...!

    huo ni upumbavu wenu nyie mnaoendesha bodaboda. Wengi wenu hamjui sheria za barabarani, mnabeba abiria zaidi "mshkaki" ,hamna leseni ndio maana mmekuwa chanzo kikuu cha ajali nchini.
  14. K

    Ubungo: Wanajeshi wampa kisago traffic police...!

    Hawana tofauti yeyote, wote ni malimbukeni na maamuma wa sheria - utajichukuliaje sheria mkononi?
Back
Top Bottom