Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Nahisi kama hamjui MAP INTERPRETATION! Huyu mshkaji katoka zake shopping, chombo nacho kilikuwa katika WINDOW SHOPPING, wakati mshkaji anatoka na mafurushi ya bidhaa hiki chombo kikaona kitumie nafasi ya ushawishi wake ili kama vipi hiyo mizigo imuhusu! Kwa sbb jamaa anaonekana hana time kabisa na huyo mwandafada, ila mdada amepita kwa speed 120 ili amuachie vumbi mshkaji, na kwa tabia halisi ya mwanaume hatoona tabu kumkabidhi hizo bidhaa mwanadada hata kama alikuwa kamnunulia mama ake mzazi! Ni mawazo yangu tu!
Ni kweli mkuu na huenda ni wale vijana wa sijui kampuni ya Kisusi Mohd marketing Company ambao wanauza bidhaa huku wameripuka hasa, sasa hapo alimsemesha demu akamzingua na jamaa akawa serious ghafla