Mh. Joseph Selasin: Asante Rais Kikwete

huyu mkulu raha yake ni kumsifia tuu ili afurahi na kucheka cheka .... selasini amemzogoa wote mkaingia king bila kujua

narrow thinking
 
ndio kazi ya upinzani, barabara kujengwa ni jukumu la serikali, ikijenga kwa nini isifiwe. Isipojenga lazima ikumbushwe, huyu selasini nae sijui kimemkuta nini leo.....

ulitaka apinge kuwa hakuna kilichojengwa wakati macho yake yanaona..hafikwa na chochote katoa kilichoko moyoni mwake kwa jk kuwa asante mh... Mana 2015 selasini kapata cha kuwaambi wananchi
 
huyu mkulu raha yake ni kumsifia tuu ili afurahi na kucheka cheka .... selasini amemzogoa wote mkaingia king bila kujua

narrow thinking.....

Ninakubaliana na wewe kwa 800% kama si Dr Slaa kumsifia JK kwenye msiba wa Regia Mtema chai ya jioni na kachori ikulu asingeipata milele.
 
Napinga utamaduni huu potofu.JK alitoa hizo fedha mfukoni mwake?

-Hiyo ni kodi ya watanzania pamoja na wananchi wa Rombo na wanastahili huduma bora.Barabara ya Rombo siyo hisani ilikuwa ni huduma muhimu na ya lazima

-Sipingi yeye kumpongeza Rais lakini tusiwe chanzo cha raia kuamini kwamba huduma kama barabara ni hisani.Huku ni kufifisha elimu ya uraia na harakati za wananchi kujua haki zao

-Wananchi wa Rombo wanastahili kujua mbele ya Rais kwamba barabara ile ni matokeo ya kodi zao hivyo wafanye kazi kwa bidii na Rais atakiwe kuomba msamaha kwa serikali kuchelewesha barabara muhimu kama hiyo

Ni haki yetu wananchi wa Rombo kuwa na barabara na ni wajibu wa derikali kujenga barabara as long as wanakusanya kodi.Tena Rais ameonyesha dharau kwa kutoonyesha hata courtesy ya kuomba msamaha kwa kutucheleweshea barabara kama vile sisi ni raia wa Kenya.

Mkuu tafuta jingine la kusema hii unaonyesha ni jinsi gani ulivyo na mapungufu ya kisiasa; jiulize katika Tanzania kuna maeneo managapi yanahitaji barabara? Kuwa mtu mwenye shukrani kwa serikali yako; wapo watanzania wanahitaji barabara kuliko hata Rombo; siasa si lazima upinge kila jambo na kumpongeza raisi wako haina maana umejitoa upinzani hiyo ndio demokrasia; watanzania tunalipa kodi serikali ina majumu mengi kama wameweza kuikumbuka Rombo ni jambo kubwa sana la kuishikuru serikali yako.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Nyie Pro-Chadema JF lini mlipewa likizo na Dr Slaa.

Mkuu Ritz
Naona Pro -Chadema wanalazimisha likizo wanaogopa mawe; vitu unavyowashushia vinawaingia akilini!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
ukweli na uwazi nyingine mbwembwe tu ila barabara kukamilika japo kwa kiwango cha chini maana mkandarasi alidai kwamba kwa kiwango cha fedha kilichotengwa kilikua kidogo ndo maana alijenga kwa kiwango ambacho ni sawa thamani ya hela alopewa
 
Mkuu Ritz
Naona Pro -Chadema wanalazimisha likizo wanaogopa mawe; vitu unavyowashushia vinawaingia akilini!

Chama
Gongo la mboto DSM

Tena muda si mrefu hawa Pro-Chadema wataangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali.....hahahaha na BABU yao kitu kizito kimeshamuangukia
 
Hongera Mheshimiwa Joseph Selasin, Mbunge wa Rombo kwa kuwa muwazi kuhusiana na utendaji murua wa Rais JK kwa kuwezesha ujenzi wa barabara jimboni mwake.

Amediriki kutamka mbele ya Rais JK kuwa "Ingekuwa amri yake barabara husika ingeitwa Jakaya Kikwete Road"


Source: Taarifa ya HABARI TBC, Saa 2 Usiku, October 30, 2012

Ahsante kwa thread!!!!
 
Napinga utamaduni huu potofu.JK alitoa hizo fedha mfukoni mwake?

-Hiyo ni kodi ya watanzania pamoja na wananchi wa Rombo na wanastahili huduma bora.Barabara ya Rombo siyo hisani ilikuwa ni huduma muhimu na ya lazima

-Sipingi yeye kumpongeza Rais lakini tusiwe chanzo cha raia kuamini kwamba huduma kama barabara ni hisani.Huku ni kufifisha elimu ya uraia na harakati za wananchi kujua haki zao

-Wananchi wa Rombo wanastahili kujua mbele ya Rais kwamba barabara ile ni matokeo ya kodi zao hivyo wafanye kazi kwa bidii na Rais atakiwe kuomba msamaha kwa serikali kuchelewesha barabara muhimu kama hiyo

Ni haki yetu wananchi wa Rombo kuwa na barabara na ni wajibu wa derikali kujenga barabara as long as wanakusanya kodi.Tena Rais ameonyesha dharau kwa kutoonyesha hata courtesy ya kuomba msamaha kwa kutucheleweshea barabara kama vile sisi ni raia wa Kenya.

Ben .... napenda ujasiri wako wa kuongea black and white .... my wish is : you are the next blessed law maker/legislator representing Rombo constituency .... take it and go for it ... no cost no worry

all the best
 
hiyo barabara imezinduliwa mara ngapi?
mwaka 2010 enzi za mramba alizindua tena pale mkuu
isitoshe imejengwa kwa kodi zetu na pia fedha za wahisani
sidhani kama kuna cha kumpongeza kikwete kwani hakuomba kazi kupongezwa bali kuwajibika
bora angesema iitwe horombo road au Mramba Road manake huyu mzee licha ya kuwa fisadi lakini ndio mpiganaji
wa hiyo barabara tangu akiwa na mzee Mkapa na alisaidia sana kupatikana kwa fedha za ujenzi hadi ikazua balaa bungeni
 
Huyu Selasini ni sawa tu na Masumbuko Lamwai matapeli zandiki ndumilakuwili.

Vijana hizo roho za kwa nini mpaka lini? Mh Selasini amesema ukweli wake wewe unapata shida gani? Kama serikali ya Mh Kikwete imefanya jambo jema waache wasifiwe, tatizo nini vijana mnapenda kulaumu tu?

Mbona hizo barabara alizojenga Mh Kikwete ndizo mnazitumia kufanyia maandamano yenu? Au mtaanza kuandamana pembeni ya barabara?

Mimi nasema hivi mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni - kama hutaki jitundike. Liwalo na liwe (Mh. Pinda)
 
Napinga utamaduni huu potofu.JK alitoa hizo fedha mfukoni mwake?

-Hiyo ni kodi ya watanzania pamoja na wananchi wa Rombo na wanastahili huduma bora.Barabara ya Rombo siyo hisani ilikuwa ni huduma muhimu na ya lazima

-Sipingi yeye kumpongeza Rais lakini tusiwe chanzo cha raia kuamini kwamba huduma kama barabara ni hisani.Huku ni kufifisha elimu ya uraia na harakati za wananchi kujua haki zao

-Wananchi wa Rombo wanastahili kujua mbele ya Rais kwamba barabara ile ni matokeo ya kodi zao hivyo wafanye kazi kwa bidii na Rais atakiwe kuomba msamaha kwa serikali kuchelewesha barabara muhimu kama hiyo

Ni haki yetu wananchi wa Rombo kuwa na barabara na ni wajibu wa derikali kujenga barabara as long as wanakusanya kodi.Tena Rais ameonyesha dharau kwa kutoonyesha hata courtesy ya kuomba msamaha kwa kutucheleweshea barabara kama vile sisi ni raia wa Kenya.

Hebu tuache uongo huyo Ngalai, Salakana, Mramba mbona wasizitengeneze hizo barabara?
Mrema mwenyewe msikilize hiyo kesho mambo aliyomsifia JK kwenye jimbo lake la Vunjo leo hii hasa kwa kuchaguliwa Diwani
Unajua tatizo lwa wachagga hasa upro CDM mnaona kila kitu ni kibaya na ni halali yenu kupatiwa bure lakini ni wivu mtupu kuna barabara ya kuunganisha Marangu Mtoni mpaka Mwika ni miaka inasumbua na kodi zinatolewa mbon ahaiishi? au ile ya Kilema Kirua
 
Napinga utamaduni huu potofu.JK alitoa hizo fedha mfukoni mwake?

-Hiyo ni kodi ya watanzania pamoja na wananchi wa Rombo na wanastahili huduma bora.Barabara ya Rombo siyo hisani ilikuwa ni huduma muhimu na ya lazima

-Sipingi yeye kumpongeza Rais lakini tusiwe chanzo cha raia kuamini kwamba huduma kama barabara ni hisani.Huku ni kufifisha elimu ya uraia na harakati za wananchi kujua haki zao

-Wananchi wa Rombo wanastahili kujua mbele ya Rais kwamba barabara ile ni matokeo ya kodi zao hivyo wafanye kazi kwa bidii na Rais atakiwe kuomba msamaha kwa serikali kuchelewesha barabara muhimu kama hiyo

Ni haki yetu wananchi wa Rombo kuwa na barabara na ni wajibu wa derikali kujenga barabara as long as wanakusanya kodi.Tena Rais ameonyesha dharau kwa kutoonyesha hata courtesy ya kuomba msamaha kwa kutucheleweshea barabara kama vile sisi ni raia wa Kenya.

Hii serikali ya magamba huwa hata viongozi wakubwa hawajui kuwa kujenga barabara au huduma nyingine yoyte kwa umma zinatumika kodi za watanzania. Unashangaa kumsikia mtu kama magufuli anatoa mpaka povu eti daraja hili linajengwa na pesa ya serikali ya jakaya kikwete! Hawa jamaa huwa hawajui kama wananchi wanajua kuwa kujenga miundo mbinu au kutoa huduma yoyote ile ni wajibu wa serikali na siyo favour kama inavyochukuliwa na viongozi wa magamba kama magufuli!

Hii miundo mbinu na huduma za kijamii ni lazima siyo msaada na wala hakuna haja ya kumpongeza mtu ili hali tunamlipa ili asimamie utekelezaji kwa fedha zetu.

Ni lazima wananchi waelimishwa juu ya jambo hili iliwajue kuwa kazi ya serikali ni kutekeleza mipango ya maendeleo kwa kutumia pesa za walipa kodi na wanapofanya hivyo wanatimiza wajibu wao ambao ndo tunawalipa mishahara.

CDM inabidi walivalie juga hili jambo kila wanapofanya mikutano ili wananchi wasidanganywe na kujiona kuwa kupatiwa maji,hospitali au barabara ni favour!

Serikali ipongezwe tu pale inapofanya vitu extraodinary lakini si hili la kula kodi zetu na kutujengea barabara katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru halafu tunampongeza mtu hata kodi halipi.

Nchi hii CDM wanakazi kubwa sana ya kutoa matongotongo kwa wananchi iliwazinduke usingizi ya kiduma cha cha ....... Nilicheka sana pale wilayani kwangu nilipokuta imewekwa Rami feki kipande kisichofika 3KM halafu watu wanashangilia eti mbunge wao kawaletea Rami kwa hiyo hakuna mtu atakayeweza kumtoa. Halafu yule mbunge ni mojawapo ya wale mafisadi papa! Rami hiyo hivi leo ni vumbi tu!

CDM inabidi wawe wanajitokeza kwenye media kupinga upotoshaji wa mawaziri kama magufuli na yule mama aliyeropoka kwenye kampeni za Arumeru kuwa hatapeleka miradi ya EPZ kama magamba hawatachaguliwa wanachokifanya ni favour na hatuwalipi mshahara kwa kodi zetu
 
Source TBC 1, haya kazi kwenu mnaoangalia na kuiamini hiyo channel
 
Back
Top Bottom