kwani nini bana
Member
- Oct 13, 2012
- 25
- 4
Kwa uelewa wako mdogo mpaka tunakwenda kaburini polisi wote duniani hawataweza kushindana na WANAJESHI
Issue hapa si "kama polisi wote duniani wanaweza au hawawezi kushindana na wanajeshi". Suala la lililopo mezani ni aibu ya JWTZ kumpiga askari wa trafiki akiwa kazini anaongoza magari. Hoja yangu ni kwamba haikuwa sawa kwa akari hao wa JWTZ kufanya walichokifanya kwa sababu sababu jam inasababishwa na vitu vingi kuliko wewe unavyoweza kufikiri.
Hebu jaribu kujenga hoja kwa kushirikisha ubongo ktk kufikiri na sio kutumia hiyo naniii unayotumia kukalia.