kijembeee JF-Expert Member Jun 6, 2012 409 105 Oct 31, 2012 #3 mabadiliko ya teknolojia na ubinafsi yatafanya iwe imposibo kutokea mwenye maadili kama Nyerere
K kwani nini bana Member Oct 13, 2012 25 4 Oct 31, 2012 #5 Endelea kupumzika kwa amani Mwl J K Nyerere
The Hunter JF-Expert Member Dec 25, 2010 1,049 305 Oct 31, 2012 #6 Kale ka jamaa ka pwani bingwa wa kutabasamu vipi kwani??
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,883 155,854 Oct 31, 2012 Thread starter #7 The Hunter said: Kale ka jamaa ka pwani bingwa wa kutabasamu vipi kwani?? Click to expand... Kale ka MODEL? Kakimaliza msimu wake kataenda kuonyesha mitindo
The Hunter said: Kale ka jamaa ka pwani bingwa wa kutabasamu vipi kwani?? Click to expand... Kale ka MODEL? Kakimaliza msimu wake kataenda kuonyesha mitindo
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Oct 31, 2012 #8 ni kweli mkuu umesema vema...itachuku miaka mingi sana kumpata mtu kama huyu
M mgomba101 JF-Expert Member Oct 21, 2011 1,817 706 Oct 31, 2012 #9 Awamu ya nne tumepata chaguo la mungu! unataka nini cha zaidi??
Shomari JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,112 241 Oct 31, 2012 #10 Yericko Nyerere said: Ni kweli kabisa! Click to expand... Hahahahaha yaani na wewe unashabikia tu, eti kweli kabisa!! au kwa vile ni babu yako. Tumeshaambiwa ni baada ya miaka 45. sasa hii 100 imetoka wapi?
Yericko Nyerere said: Ni kweli kabisa! Click to expand... Hahahahaha yaani na wewe unashabikia tu, eti kweli kabisa!! au kwa vile ni babu yako. Tumeshaambiwa ni baada ya miaka 45. sasa hii 100 imetoka wapi?
kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 708 Oct 31, 2012 #12 MadameX said: No Comments Click to expand... hata no coment ni coment
Endangered JF-Expert Member Sep 22, 2011 922 228 Oct 31, 2012 #13 Mi nlijua mwenza wa nyumbani ndani. Kube Father Nation!
H hippocratessocrates JF-Expert Member Jul 1, 2012 3,598 1,539 Oct 31, 2012 #14 Mkuu inawezekana ikachukua miaka michache au mingi ya hiyo(100) kutegemeana na Mtazamo, Upendo wetu wa Tanzania kwa Taifa letu.
Mkuu inawezekana ikachukua miaka michache au mingi ya hiyo(100) kutegemeana na Mtazamo, Upendo wetu wa Tanzania kwa Taifa letu.
kazikubwa JF-Expert Member Oct 8, 2010 597 145 Oct 31, 2012 #15 Ndiyo napita mwitongo naelekea Musoma mjini.
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Oct 31, 2012 #16 Bujibuji said: Kale ka MODEL? Kakimaliza msimu wake kataenda kuonyesha mitindo Click to expand... kamepata nafasi kwenye kundi la BOYZ 2 MEN
Bujibuji said: Kale ka MODEL? Kakimaliza msimu wake kataenda kuonyesha mitindo Click to expand... kamepata nafasi kwenye kundi la BOYZ 2 MEN
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Oct 31, 2012 #17 ...wapo wengi, ila kuzipata nafasi ndio ngumu..
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,444 25,591 Oct 31, 2012 #18 Hakika....Pumzika kwa amani Baba yetu wa Taifa..
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,028 54,321 Oct 31, 2012 #19 KIONGOZI ni kuonyesha njia,Mwl aliweza kwa kweli.
mzamifu JF-Expert Member Mar 10, 2010 6,379 3,826 Oct 31, 2012 #20 watu wapo lakini hawatapitishwa na syndicate. wanaonekana wanoko