Wakuu tumeshuhudia jinsi wanasheria leo walivoamua kumchagua mtu asiye muoga atayeweza kupambana na changamoto wanazokumbana nazo wanasheria,,,walimu nanyi mna kero nyingi,,hamupandishwi madaraja,,mazingira magumu ya kazi,,na mengineyo!!!! Ushauri wangu nanyi mpambane mpate viongoz...