mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,915
Mimi na wewe tu.... Sitaki uscavenger... NawindaMzee wa kung'oa ushafika na uku... Mshindwe wenyewe kuoa mwaka huu
Mimi na wewe tu.... Sitaki uscavenger... NawindaMzee wa kung'oa ushafika na uku... Mshindwe wenyewe kuoa mwaka huu
me natafuta mchepuko usawa huu utakubali wakati unawait wa kukuoa?Na mm jaman natafuta MTU Wa kunioa
HahahaaMzee wa kung'oa ushafika na uku... Mshindwe wenyewe kuoa mwaka huu
Akuuuu.... NilishawaiwaaaLa mujar me nakutaka wewe
kipi hicho ninongonezeKuna kigezo pale sijakikubal so acha nipite tu hapa kimya kimya
Kwenda zakokipi hicho ninongoneze
hahahhh sisemi bana we niambie tuKwenda zako
Ni mchaga?au nmesoma vibayaAm 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
Unatafuta Mfipa Wa sumbawanga?Ni mchaga?au nmesoma vibaya
Acha ubabaifu njoo basi nikuonjeshe radha ya msisimko ndio uende...Akuuuu.... Nilishawaiwaaa
Weka pichaAm 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
tour mobile pleaseAm 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
tel pleasetour mobile please
karibuNa mm jaman nahitaji MTU Wa kunioa
Sijaelewa hapo kwenye "anajishughulisha"