UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 414
- 481
Ni kweli kwamba, ukiwa mwalimu wa shule ya msingi huruhusiwi kujiendeleza na kozi nyengine?
Nina rafiki yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), matokeo yake ni Phy f, chem c, math D, bio c, kisw b, eng C, geo c, hist b, civ C. (Div2 ya 19).
Lengo lake alitaka asomee Clinical Medicine, ila phys ameharibu.
Hivyo akaona asomee ualimu kisha baadaye anaristi phy kisha anaenda kupiga C.O. Sasa ana wasiwasi aliambiwa kuwa UKIWA MWALIMU SHULE YA MSINGI HURUHUSIWI KUJIENDELEZA NA FANI NYENGINE. Je hio sentensi niloandika kwa herufi kubwa ina ukweli?
Nina rafiki yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), matokeo yake ni Phy f, chem c, math D, bio c, kisw b, eng C, geo c, hist b, civ C. (Div2 ya 19).
Lengo lake alitaka asomee Clinical Medicine, ila phys ameharibu.
Hivyo akaona asomee ualimu kisha baadaye anaristi phy kisha anaenda kupiga C.O. Sasa ana wasiwasi aliambiwa kuwa UKIWA MWALIMU SHULE YA MSINGI HURUHUSIWI KUJIENDELEZA NA FANI NYENGINE. Je hio sentensi niloandika kwa herufi kubwa ina ukweli?