Inawezekana kuzaa nje ya ndoa, inaweza kuwa dhambi lkn sio wa kwanza, na ukarekebisha.
Unaweza kuachwa, kuacha kwa ajili ya Amani ya roho, usalama n.k.
Unaweza ukawa single kwa kufiwa.
Yote hayo Mimi sioni kama ni shida, kwakuwa naamini sio mapenzi ya single kuwa single.
Kuna msemo unasema usilalamuke kwakuwa umeinguzwa shimo! Mradi uhai, unamikono, macho, akili, vyeti. Pambana mwanangu, piga moyo konde tafuta vyako, huo unyonge unauonyesha ndiyo ushindi wa huyo ndugu yako. Tafuta kazi pengine huku unafanya jitihada za kudai haki yako.
Hongera kwa hatua hiyo.
Ili wakati wanaanzisha Diploma ilikuwa ya miezi 18 nasio miezi 24.
Pia kuna waliosoma certicates walikuwa na qualications za mfano kwenye Shorthand, Hatimkato walikuwa speed ya 100 na zaidi, typing stg III walikuwa na 50words and above, hivyo waliruhusiwa wasisome...
Nenda Mtwara Open university, kama GPA 3.0 and above unaweza kusoma, kama haijafika Basi kuna mtihani wa RPL ambao bado utaratibu ila unafanyiwa kazi ila wenye vigezo vidogo waingie, au naweza sema kwa mtihani wa RPL hata std 7 anaweza soma digrii.
Kama alivyosema mwana jf OUT hakuna certificate, apply course za certificate NACTE, usome ziko nyingi, ukimaliza hadi Diploma ndiyo omba OUT, maana hata Diploma hawana course nyingi. Au njoo inbox.
Wana jamii, naomba kufahamu kwa anayejua. Enzi za uhai wa Baba wa Taifa, tulikuwa tukimaliza kidato cha nne , tunajaza fomu kwa ajili ya kuchagua A level na Vyuo mbalimbali.
Je kwa sasa mwanafunzi akichaguliwa kwenda Chuo inakuwaje ? Na je kuhusu kuomba kusoma kupitia NACTE inakuwaje?
Asante.
Waheshimiwa naomba msaada wenu, yaani mambo yanachanganya sana, sikumbuki kama nilisikia au nilisoma sehemu kuwa:-
1.Ili mtu aende A level lazima awe na Div one na two!?
2.Na huku kurudia mitihani/mtihani, na labda ukafanikiwa na mingine ukakosa je inakuwaje? Labda unatafuta C moja kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.