Kuna msemo unasema usilalamuke kwakuwa umeinguzwa shimo! Mradi uhai, unamikono, macho, akili, vyeti. Pambana mwanangu, piga moyo konde tafuta vyako, huo unyonge unauonyesha ndiyo ushindi wa huyo ndugu yako. Tafuta kazi pengine huku unafanya jitihada za kudai haki yako.