124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,522
hii inacost kama 1m tu kijijin iau chini ya hapohii nyumba hata matombo ipo ila sielewi galama ya ujenzi wake.
hii inacost kama 1m tu kijijin iau chini ya hapohii nyumba hata matombo ipo ila sielewi galama ya ujenzi wake.
Kumbuka kujenga shida ipo kwenye kupata eneo/kiwanja kwa hapa Dsm.Ingekuewa kwa pesa hiyo unajenga nyumba na unahamia kila mtu angekuwa kwake.
Hapo kwenye rangi,ahsante sana mkuu umenifafanulia vizur umenipa mwanga kumbe nikisema nitengeneze chumba kimoja kwa hela hii naweza weka had tyres
Kiongozi naona umepatwa,hahaha magomeni vipi mkuu hesabu zilipandana au.
Wala usiwe na hasira kwasbb hili ni jukwaa la great thinkers kwahiyo sitegemei km great thinker unilishe maneno matupu. Umeelewa ulichokiandika? Nafikiri hata ww ukisoma baadae utashangaa sana kwa ulichokiandika. Nilitegemea utanipinga kwa fact huku ukitoa mchanganuo wa A-Z kumbe maneno matupu. Nasubiria huo mchanganuo wakoMln 2 vyumba viwili unajenga bila tatizo...akihitaji mchanganuo naweza kumpa..Narudia msimkatishe tamaa kwa maneno yenu.
Tofari 1200 ,fundi mtafutie laki nne.tofali nimeulizia wanauza elfu moja had site usafir juu yao ila sijajua vyumba viwil zinaingia tofar ngap na fund anajenga kwa tsh ngap
1200 maximumtofali moja ni 1000 had kiwanja kilipo sijajua zinaingia tofali ngap vyumba viwili
Azimia palee bei zao kàrbu na kituo cha zaman cha police gobaBila shaka unamaanisha kwa mbava
Kwa kifupi kabisa... milioni mbili hawezi kujenga vyumba viwili vikaisha...ulizia kwanza mwenyewe maana humu kila mtu atatoa uzoefu wake.
ukubwa wa vyuma pia unachangia tofali ngapi.
choo vipi hujengi? hapo pia kuna gharama ya shimo.
mabati, pita uulizie mitaa ya tazara, huwa kuna mabati ya bei rahisi geji za ujanjaujanja.
mbao vipi au utatumia miti/mirunda ulaze bati.
misumari haihitajiki sana,
milango na madirisha vipi, au utatengeneza wa bati,
naona watu wanahamia kachumba kamoja na maisha yanaendelea. tafiti mwenyewe. no gain without pain.
ila ukianza tu kuchimba msingi utafanikiwa mkuu. anza mdogomdogo.
Mkuu unajenga nyumba au gari? Matairi kwenye nyumba unataka uwe unaenda baa na nyumba yako?ahsante sana mkuu umenifafanulia vizur umenipa mwanga kumbe nikisema nitengeneze chumba kimoja kwa hela hii naweza weka had tyres
nilikuwa namaanisha zile marumaru mkuu hapo vipMkuu unajenga nyumba au gari? Matairi kwenye nyumba unataka uwe unaenda baa na nyumba yako>
yes kama ya tope inawezekana kabisaUnajenga inatemegemea unataka iwe na ubora gani...achana na wanaokukatisha tamaa.
Choo waweza chimbia pipa 2 hivi, na ukakaanacho hata miaka miwili.ahsante mkuu umenifungua macho zaid nilisahau kuhusu choo ngoja niweke mawazo kwnye chumba kimoja kwanza nahis ntafanikiwa
Ohoo... tiles? Tiles tena dogo??? Hebu acha masihara basi.nilikuwa namaanisha zile marumaru mkuu hapo vip