Recent content by kumpikaa

  1. K

    Ujio wa Smart au Hybrid cars na Sheria Mpya ya Motors Vehicles licence.

    Ndio maanayake Gari kubwa kodi Kubwa ya barabara.
  2. K

    Wanawake bana

    Mmmmm huyo wako kimeo kaka. Kumbuka hâta wanaume wanaonywea pomme ada.......... Jibu wapooooo. In Ney's voice
  3. K

    KISUTU: Ndama Shabani Hussein (Pedeshee Ndama) jela miaka 5 au faini 200 milioni

    Kiukweli kesi ya pesa kufungwa bongo ngumu Sana kwasababu kila mmoja kwenye chain ya mashtaka anaitaka uliyoiba ufungwe alafu waikose ngumu sana
  4. K

    KISUTU: Ndama Shabani Hussein (Pedeshee Ndama) jela miaka 5 au faini 200 milioni

    Adhabu faini 200m kwa kutakatisha 1.8bn. Ndio maana alikiri alishajua kitakachofuata.
  5. K

    Hivi ni ruksa kusoma degree na diploma kwa pamoja vyuo tofauti?

    Ruksa ikiwa unasifa zote Za kuweza kudahiliwa kwa diploma na degree Pia. Na ukiwa na uwezo wa kichwa
  6. K

    Natafuta mume

    Unaumri gani nipm pic y'ako naedetail zingine muhimu
  7. K

    Neno moja kwake mtu huyu!

    Pochi ya nini sasa c angebeba kibegi dume
  8. K

    Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

    Mkuu nimeupenda Sana huu Uzi big up to you
  9. K

    Uteuzi wa Kitila: Zitto asema Rais ameamua kuunganisha nchi kwa kufanya kazi na watu wote

    Duuh kweli siasa acha kabisa ccm inamatawi Mpaka kwa nyumbazetu sasa Atakataaje wakati alikuwa ccm c
  10. K

    Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

    Nauri sana hii
  11. K

    Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

    Mpaka ufiwe wewe kwa ZIKA ndio ujue ipo ? Wewe sio Dr !!! Why uulize hivyo ?
  12. K

    Magreth Sakaya ametambuliwa na Msajili wa vyama kama Katibu Mkuu wa CUF

    Prof anazeeka vibaya sana. Simuamini simpendi simthamini tena
  13. K

    INDIA: Wanafunzi wa Kiafrika kupeleka malalamiko yao rasmi AU kuhusu ubaguzi wa rangi

    Wahindi wabaguzi sana sijui kwanini wananyenyekewa hapa kwetu. Wabaguzi hata wakiwa nje ya nchizao. Angalia lire style yao wanaabudu wenyewe, wanaishi wenyewe na kuoana wenyewe. Kazi ndio usiseme, ushawahi kuwa na boss Minondo ? Balaa tupu
Back
Top Bottom