Neno moja kwake mtu huyu!

Neno moja kwake mtu huyu!

cjamkimbia mimi nipo job yeye anampeleka motto clinic tunagawana majukum jamaniiii...mimi penda mumee wangu ananisaidiaaaa.....
Tehteh
Ndiyo kumpa hadi mkoba na mwamvuli wako! Unachokitaka utakipata wewe
 
862428d02f87a8e7e1fd9e7576a233d2.jpg
Inahitaji moyo sana
ila sio kwa kizazi hiki cha chipusi mayai
 
hivi ni kweli ukibeba hivyo unakuwa baba mzuri?? aisee basi uzuri ni mpana kwa mapana
inategemea kama hilo halifanyiki likifanyika inawea kupa credit ndiyo maana nikasema hivyo japo haina maana ya kuwa kufanya hilo linatosha kama watoto watakuwa hawana chakula ndani na humpi mkeo pesa
 
hivi ni kweli ukibeba hivyo unakuwa baba mzuri?? aisee basi uzuri ni mpana kwa mapana
inategemea kama hilo halifanyiki likifanyika inawea kupa credit ndiyo maana nikasema hivyo japo haina maana ya kuwa kufanya hilo linatosha kama watoto watakuwa hawana chakula ndani na humpi mkeo pesa
 
Back
Top Bottom