Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

ni story nzuri saaana hasa kwa wale wanaopenda mambo ya umbea umbea na kudadisi vitu sio kesi

ila unapata wapi muda wa kuandika vitu vyote huwo na kuchunguza mambo yote hayo

Wewe umepata wapi muda wa kusoma makala yote hii?
 
Asante sana shem lake. Ni wazi kabisa kwamba SAD walihusika kuivuruga serikali ya Libya pia. Natumaini utatuletea uzi maalum siku moja!
Karibu shem.

Kuna makala inaendelea ktk group la WhatsApp kuhusiana na Kanal Muammar Gadaffi,bila shaka The bold atayagusia yote yamhusuyo na serikali ya Libya kiujumla.
 
Nifah umetisha mumy thank you, daah nimepata burdani kweli kweli ahsanteee lakini hilo ni funzo kali sana kwa wanaojifanya kuingilia maslahi ya Kaka mkuu wa dunia
Shukraan mkuu
 
kweli nifah umekaa na mumeo kitandan mkatengeneza kitu adimu km hichi.najua una akili nyingi ila mumeo yupo nyuma y pazia.sijui huyo mtoto wenu mkizaa atakuwa na akil kias gani.embu mpe the bold mtoto afu aje hapa atupe nondo

Hahahaaaaa ndio maana nataka tuzae kama watatu hivi In Shaa Allah,maana hizi akili za bwana mkubwa sio za kuziacha hivihivi.
Yafaa tupate injinia,jasusi na dokta.

Shukraan sana mkuu.
 
Wakati wa kumuapisha Obama aliposhinda uraisi wa Marekani, wageni walioalikwa kutoka Afrika walikuwa ni Mandela na rais wa sasa wa Nigeria, wakati huo akiwa ni raia wa kawaida.
Unataka kutuambia nini mkuu?
 
Duuh,ndo hivyo aiseee .wifi yako kesharudi kwao.

Tatizo lililopo ni mimi kwenda call me j,maana nasikia sikuhizi kila mgeni anae kwenda kule anahisiwa kua ni mwandishi wa habari anae saka taarifa za mungu wa dar .

Itabidi nionge na mkuu the bold akupe kibali ili unisindikize.
Hahahaaaaa umenichekesha sana ila hapo mwisho umeharibu mkuu.
Naona unamtafuta ubaya bwana mkubwa
 
mambo Nifah uko vizuri, ujue nakukubari sana nikona jina lako nakumbuka harakati kule jukwaa la siasa kipindi cha uchaguzi, we ni kati ya wadada wachache sana nashauri nasisi tuanzishe SAD yetu kumuondoa baba j
 
Hahahaaaaa umenichekesha sana ila hapo mwisho umeharibu mkuu.
Naona unamtafuta ubaya bwana mkubwa
The bold,popote ulipo tambua sina nia ovu na nifah,ni vile nataka tuu uwepo wake katika call me j tour.

Nitazingatia itifaki zote za mtu na shejie.
 
CIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
Hebu ongezea minofu mkUu
 
mambo Nifah uko vizuri, ujue nakukubari sana nikona jina lako nakumbuka harakati kule jukwaa la siasa kipindi cha uchaguzi, we ni kati ya wadada wachache sana nashauri nasisi tuanzishe SAD yetu kumuondoa baba j

Shukraan mkuu,dah umenikumbusha mbali sana enzi zile.
Huwezi amini niliharibikiwa na Device niliyokuwa natumia,lakini kwa mapenzi yangu kwa upinzani na wanaharakati wenzangu nilikuwa natumia kisimu hicho,dah!

Hahahaaaaa mkuu huko kwa baba J unagusa pabaya mkuu,wenzetu walijipanga kwa muda mrefu na wana rasilimali za kutosha.
Sisi tukifanya ujinga tu tutapotea,kumbuka ya mwenzetu saa8!
Na alihoji tu....
 
The bold,popote ulipo tambua sina nia ovu na nifah,ni vile nataka tuu uwepo wake katika call me j tour.

Nitazingatia itifaki zote za mtu na shejie.
Kwanini usiende na The bold mwenyewe basi?
Hahahaaaaa
 
Shukraan mkuu,dah umenikumbusha mbali sana enzi zile.
Huwezi amini niliharibikiwa na Device niliyokuwa natumia,lakini kwa mapenzi yangu kwa upinzani na wanaharakati wenzangu nilikuwa natumia kisimu hicho,dah!

Hahahaaaaa mkuu huko kwa baba J unagusa pabaya mkuu,wenzetu walijipanga kwa muda mrefu na wana rasilimali za kutosha.
Sisi tukifanya ujinga tu tutapotea,kumbuka ya mwenzetu saa8!
Na alihoji tu....

saa 8 alihoji nini?
 
Back
Top Bottom