Nakiri namba zinazotumika kukutumia sms hizo, kisha wapigie Tigo na uwaambie tatizo hilo. Wao ndio watakusaifia kuziblock. Njia nyingine, wakikutumia sms block wewe mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika nimevutiwa na maelezo yako kuhusu huyo nyoka kifutu kutoa sauti umsogeleapo. Umenikumbusha nilipoemushwa na Mungu kutoka kwenye kifo na hatari ya nyoka huyo. Nikiwa mdogo sana mkoa fulani hivi, nikiwa nimeinama kwenye shamba la mpunga uliokuwa katika hatua za kung'olea, sikuwa na hili...
Katika riwaya hii ya kusisimua ya THE DOOMSDAY CONSPIRACY, mwandishi Sidney Sheldon anatujuza kuwa Shirika la Ushushushu linalohusika kunasa mawasiliano la Marekani(NSA) linahaha kuhakikisha linawafahamu na kuwaangamiza watu wote walioshuhudia viumbe vya ajabu(aliens) au ( Unidentified Flying...
Baada ya Ofisi ya Spika kuridhia uamuzi wa Chama cha Wananchi (CUF) kupitia mwenyekiti wake Prof. Ibrahim Lipumba, kuwavua uanachama wabunge nane wa chama hicho na kupokwa ubunge wao na kutangazwa kwa majina nane yaliyotangazwa kuziba nafasi zilizoachwa wazi, msikie katibu mkuu Maalim Seif...
Pata taarifa ya habari ya Azam Two ya Julai 24, 2017, iliyosheheni habari zifuatazo: Magufuli asema hatojali itikadi za kisiasa, Tanzania na Kenya zaondoa vikwazo vya kibiashara naTundu Lissu akosa dhamana, arudishwa rumande. Fuata link hii>>>
Watu wawili waliyojitambulisha kuwa ni waganga wa jadi wanadaiwa kumbaka binti wa miaka 17, huko mkoani Lindi na kutoweka, wazazi wa binti huyo wanaomba kubaini sababu ya kitendo hicho. Tazama video hapa>>>>
Baadhi ya wana JF, wanamihemko ya kisiasa. Hawaridhishwi na kila jambo. Nape amezungumza kama mwanasiasa na si kama mwana-CCM, au mtu aliyeondolewa uwaziri. Ana haki ya kutoa mawazo yake binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.