Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Ni kweli kabisa huyu ukimkanyaga umeumia ....hata ndugu yangu alivyoumwa na huyu mdudu chanzo alimkanyaga bila kumwona wakati anavuka barabaraHahaha mkuu sisi tulikua tunawarudisha nyuma alipo toka yani kila akienda mbele sisi tunamvuta nyuma tukichoka tunamuulia mbali ila ukimkanyaga imekula kwako