Prof. J na Nick wa II wampinga Mwakyembe

Prof. J na Nick wa II wampinga Mwakyembe

Jamaa haijui sanaa, sasa anachofanya ni kujitutumua tu ili aonekane anajua....matokeo yake anawaathiri/waumiza anaowasimamia, ambao ni Wasanii, Wanahabari n.k.
 
Mwakyembe hajui hata tone la muziki. Anasema hakuna mwanamuziki mkubwa alifanikiwa kwa kukosoa serikali! Yaani atakuwa hamjui hata bob marley the ever living legend! ambaye alifariki tarehe kama ya leo mwaka 1981 na mpaka leo hakuna msanii wa reggae anaweza kujifananisha naye. Bob mara zote alikuwa anakosoa serikali nyimbo kama Babylon system, stiff necked fools, crisis, who the cap fit, crazy bald head, war, yaani almost zote tu anakosoa serikali na mfumo wake mbovu.

Culture, burning spear, Lucky Dube. Tupac, scarface, wanamuziki wa South karibu wote walikuwa wanapingana na serikali kipindi cha ubaguzi na walifanikiwa sana tu. nyimbo kama we miss you manelo (walimaanisha Mandela), freedom is coming tomorrow na nyingine nyingi nyingi....
Anajitoa ufahamu tuu si kwamba hajui kazi ya sanaa ni nini.huyo jose kamilioni aliye mtaja zipo nyimbo alizoimba kukosoa serikali.

Tatizo ni kutaka mkuu amuone mchapa kazi.isingekua anaendeshwa na tumbo magu alivyo muumbua kuhusu vyeti vya kuzaliwa angejiuzuru.
 
Kwanza kwa umri wake angetakiwa apewe wizara ya guidance and counselling kama ipo.. na sio wizara hiyo!! wizara inawafaa vijana wa kidigital na sio hilo zeee la analogous.. linajua taarifa za kina mbaraka mwishee, ngurumo sijui yondo sister.. ndomana kila kukicha huwa linaongea ugolo
 
Kwa mambo anayofanya mtu akikuambia mwakyembe ni mnyakyusa unaweza ukabisha.
 
What about Miriam Makeba. Yeye pia kaimba sana nyimbo za siasa ndiyo maana baadaye kahamia USA kuepa matatizo Afriakaya kusini
 
Wizara haiwezi kabisa ile Ila ndio basi baba mwenye nchi kaamua kumuweka bila kuzingatia vigezo
 
Kashfa ya mabehewa feki inamtesa Kiembe, lazima ajipendekeze kwa mkulu kupindukia ili aifumbie macho kama vile Bashite
 
Back
Top Bottom