Mwanangu me hata mkono nakuunga.i ndo tatizo ya kuwa na viongoz ambao na wao wanashida pesa hawana.asipopewa na fungu na serikal basi na yeye chali.angalia kwa lowasa na kwa Nimrold mkono.pesa ipo kule
Of course no mata what is tha source of information huyo mama lazima anaijua serikali na wiz wake haitusaidii sana kuhoj alikuwa wapi siku zote kutuambia hayo,ila inatusaidia sana kama akiyasema na yakifanyiwa kazi.so let her talk and go
Achen ujinga vijana kwa wazee.mbona mnang'ang'ania vyama na kusahau chama ni kama kokoro tu.kinaweza beba watu wazur na wabaya pia.ebu waache wao watupiane majungu.shida yetu wafanye kazi.ivi unaweza ukaacha kumpa maguful kaz et kwa sababu kaitukana chadema? U WIL BE MAD AISEE
Kama swal lenyewe ndo ilo tu ndugu halitosh kunifanya mim nisisikitike juu ya kifo cha Gadaf mana mazur aliyofanya yanafunika ilo mara kumi.hakuna kiongoz mwenye mazur tu mjomba.wake up!
Kwa wale wanao amin kuwa Kuna Mungu,na Mungu ameumba upendo.swal langu ni ivi,unapomfuata binti au kijana wa kiume na kumwambia unampenda,unamanisha unampenda kwa upendo ule ule ambao Mungu aliuweka ndan yako? Au kuna aina nyingine ya upendo unauzungumza hapo.nauliza ivi kwa sababu kama kwel...
I stil believe brotherz kwamba hakuna kisicho na mwisho.mana kila nikifikiria nafikir kama ntachanganyikiwa.IN GOD I TRUST THAT ALL THIS WIL COME TO END
Hawa jamaa bado hawajajua ni nin kinaendelea uku chin walipo wananchi.kama wanajua shingo zao ni ngumu lazima zitajavunjika tu.but nataka watu wajiulize maswal haya.KWA NINI WAZANZIBAR HAWATAKI MUUNGANO,NA KWA NIN VIONGOZ WA TANGANYIKA WANAUTAKA UONGOZ KWA NGUVU ZOTE.SOMETHING MUST BE WRONG SOME...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.