Mkuu, hiyo $40k ni kwa mwezi au kwa mwaks. Nafahamu kwamba wakurugenzi (CEOs, MDs) wanalipwa kati ya $20, 000 na $25, 000 kwa mwezi na wanalipiwa gharama nyingine kama shule za watoto, bima, club memberships, n.k.
Hiyo $40, 000 sidhani kama ni mshahara wa mwezi.