Umeondoka tukiwa bado tunakuhitaji mno!

Umeondoka tukiwa bado tunakuhitaji mno!

Leo jioni majira ya saa moja, maeneo ya mapinga Bagamoyo ilitokea ajali ya pikipiki kugongwa na daladala na kusababisha vifo vya watu watatu, akiwemo Baba yangu mdogo na amefariki palepale, kiukweli it is very sad for us, na tupo kwenye kipindi kigumu sana

Pole sana mkuu,ajali bila shaka imetokea jana jioni na sio leo jioni.
 
Pole kk,lakn hawa ndo wale waliokuwa fukweni mwa bagamoyo wakiendesha kwa kushindana au?
 
pole sana bila shaka baba yako mdogo atakuwa ni yule traffic police,hata jana mchana nilimuona maeneo ya boko ryner park ila jion nikasikia kuwa amefarik huko mapinga,dah kwa kweli imetuhuzunisha sana,tupo pamoja ktk kipindi hiki kigumu.RIP PLEI
 
Leo jioni majira ya saa moja, maeneo ya mapinga Bagamoyo ilitokea ajali ya pikipiki kugongwa na daladala na kusababisha vifo vya watu watatu, akiwemo Baba yangu mdogo na amefariki palepale, kiukweli it is very sad for us, na tupo kwenye kipindi kigumu sana
Pole sana,dunia ni mapito tu,huwezi juwa siku,saa,wapi na mauti ya namna gani yatamkuta mtu.MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA.
 
poleni wafiwa wote. Mungu ndie mfariji Mkuu. RIP marehemu wote
 
poleni sana. Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana for your loss(RIP)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
It is so sad,tunapotoa maoni boda zifungiwe Biashara ya abiria watu wana kuja juu.mbona Zamani haiku wapo na watu waliweza kusafiri kama kawaida?Uhai wa Mtz hauna thamani kwa Wanasiasa,waliruhusu Biashara hii ili kupata kura na si vinginevyo.
 
Kweli watanzania wengi ni waungwana!
Kwa kumpa pole nyingi mfiwa!
Naomba mungu asitufanye wenye kubaguana ktk hali yyt!
Pole sana mfiwa! Mungu akupe faraja.
Amiin.
 
Swahiba wangu sana yule traffic. Inauma sana lkn hatuna jinsi. RIP kamanda Mshana.
 
Pole kk,lakn hawa ndo wale waliokuwa fukweni mwa bagamoyo wakiendesha kwa kushindana au?

Mkuu na wewe unakaa kitaa cha boko? Huyu trafic kaliza sana watu. Amenikumbusha kifo cha yule mama traffic aliyefia shekilango kwenye msafara wa JK. Walikuwa mabesti sana tu.

RIP kamanda Mshana
 
Amyway! Naelewa inatia Huzuni sn hasa kwetu Sisi tulio hai! Lakini ndugu yetu emetangulia na Sisi tuko njia moja cha msingi ni kutenda yaliyo mema Na kuniweka tayari muda wote! May god rest his soul in a peace! Amen
 
Back
Top Bottom