Top Five companies to work for in Tanzania apart from the UN

Jamani kuna NGOs za kimarekani zinalipa achaneni na mambo ya kizamani kuulizia kampuni ungeulizia hivyo wakati kampuni ni taasisi za serikali hata hivyo kuna taasisi za serikali kama ewura etc zile ambazo ni authority zinalipa sana.

Kuna NGO moja inaitwa Concern Worldwide naona wako juu sana ukicheki scale zao
 
Weka Categories
»Mining industries--Barricks Golg Mine
»Bank industries---Standard charted
»Manufacturing industries--MM steel
»Telecom industries----Helios Tower/smile com
»Construction industries---CATAPILLAR
»Logistics---Safari cargo
 
Nafikiri hii kitu ingekua per sector coz huwezi kuunganisha zote kwa pamoja,then unamaanisha mshahara au na benefit nyingine? watu wana professional tofauti so kuna sehemu nyingine mtu huwezi kufanya kazi kabisa so ni better iwe per sector
 
embu twambie korosho, wafanyakaz wa kawaida wanalipwaje hapo kwenye hiyo campany.

Mkuu, sina details za kila kampuni. Hiyo $20-25K ni reference kutoka makampuni ya simu, na hiyo scale ya CEOs/MDs. Wafanyakazi wa kawaida ni akina nani :) ? Kama member mmoja alivyoshauri ni vema kujua mishahara kutokana na industry, na ngazi kwa makampuni hayo. Kwa mfano kwenye makampuni ya simu mtu wa IT (System Administrator) mwenye uzoefu wa miaka 5 na kuendelea anapata kati ya 2.5M - 3.5M, managers ni kati ya 3.5M -4.5M, Heads ni > 4.5M. Ukishafika ngazi ya ukurugenzi(executive /C-level) huko ndio kuna "maisha bora kwa kila mtanzania"
 
kwa navyosikia ni barrick,precision air,tbl na dt diobbie.
kiukweli kampuni ikiwa huifanyii kazi utaona inalipa au watakwambia wana maslahi mazuri,na kwako unaona bado.ila ki ukweli zinakua nzuri ukizisikia ila ukiziingia inaweza kukuboa.

Kiukweli ni vizuri atoe ushaur aliyefanyia kazi ktk hizo coy kuliko kutoa ushaur wa kufikirika au kuiangalia coy kwa nje. Pia muuliza swali ni vizur ukawa specific on which post u r talking about na kwa level ipi ya qialification...coz cpy inawezs kuwa nzur kwa post fulan na mbaya kwa post zingne...
 
Tcra, ewura, sumatra, bot, pspf, to name a few. Ila nawe uwe brain si unatafuta nzuri. Hizi kijiwe hakuna ni kuchapa kazi tu.
 
Duuh...enzii hizo watu walikuqa wanatoa michango ya maana kwenye mada aisee!!! Hakuna matusi wala utoto wala kebehi! Nimependa Kwa kweli.
 
Mmetoa michango mizuri sana. Kwa mliowahi kufanya kazi/mnaofanya kazi kwenye agencies za UN kama UNHCR na UNDP, naomba kufahamu mishahara ya graduates upande wa entry levels.
Mfano UNHCR wametangaza kazi ya Asistant livelihood officer, Je hii ina salary kiasi gani?
 
What i know ni kwamba last year nikiwa chuo lecturer wangu wa Industrial economics aliniambia kuna kampuni ipo morogoro inaitwa Alliance One Tobacco Tanzania Ltd inalipa mishahara mikubwa mno, nakumbuka aliongea kitu kama $ 40,000 hiv kwa managerial level. Kama ni hivo hata hawa wa chini watakua wanapata kiasi kikubwa mno. Hii ni kampuni iliyopo chini ya mwavuli wa multi national kampani moja inaitwa ALLIANCE ONE INTERNATIONAL INC. Naskia hata TCC wapo juu wanapata sana faida makampuni ya Tobacco
Tcc jit ni noma kabisa, wana kibunda hatari mnooo.
 
BEst Companies that pays more apart from UN agencies ni hizi

Barrick
Tanapa
Lafarge
Usaid
tcra
Artumas
Gapco, total Orxy BP and the like
TPA
TRA

NB: by paying more I mean graduate mwenye at leat 5years experience anapata around take home ya 3-5m
graduate huwezi pata tanapa... tra pia huwezi pata.... labda uwe kibaka ktk cover ya hayo makampuni... kifupi ktk mashirika ya umma huwezi pata kwa figure uliy taja labda uje na maelezo ya kutosha... UN wenyewe kwa graduate ambaye sio international staff hana uzoefu ana cheza na figure ya 3-5M na tano hafiki kwa Mara moja na kufika hizo level ni muda mwingine ni plus benefits...! watanzania wana zalaulika tu ktk mashirika na taasisi za kimataifa na haya ni wenyewe tume yataka... umimi na ubinafsi wa kupunguziana mishahara... wenye makampuni wazungu washaweka mishahara minono Ila wenye roho mbaya waswahili wanaenda kwa bosi wana punguza unalipwa 3M unazani umepata kumbe Hanna kitu... ukipata fursa ya kwenda ktk ajira kampuni hiyo hiyo cheo hiko hiko ktk nchi ya jirani utakuta una pewa 15M na kuendelea una anza kusifia kampuni safi sana INA lipa UN wanalipa sijui USAID ni balaa... ubalozini hacha kabisa na watoto una someshewa...

Upuuzi... kila la kheri nendeni mkaibe ktk taasisi za watu...
 
Tcc jit ni noma kabisa, wana kibunda hatari mnooo.
upewi hizo pesa labla hiyo itakuwa pesa za kuingiza kwa mwaka hivyo ukigawa kwa miezi kumi na mbili ndio utafahamu unalipwa nini... ondoa na pesa ya serikali utapa ya kwako na michango mingine ukitoa... Ila $40,000 kwa mwezi upewi... wabongo walio ziwahi hizi kampuni wamepiga fitina...

juzi kuna MTU alitoa malalamiko juu ya hr wa alistar ya wamarekani kama sikosei yule muhaya alivyo muelezea kwa roho mbaya... ndio roho mbya nyingi zilivyo ktk mashirika wakiwepo watz... Ila wakishika mataifa mengine ya Africa wataja shirika zima sijui wakenya, waganda, wazimbabwe... na watashirikiana hata kuandika proposal kwa shirika wapandishe mishahara sio kupunguz...

wabongo roho mbaya...

anza tu na waliopitia hizi nyuzi ni wengi Ila walio komenti hats ujinga utakuta ni kumi au 20 wana jirudia hao hao... wengine wana wachora na ukifunguka zaidi waende wakabane zaidi ktk hayo mashirika...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom