Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa, Juma Nyoso (kushoto) na John Boko, wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mafisango kuupeleka sehemu iliyopangwa.
Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic, akiwa na huzuni...
Aliyepaswa kutangaza "kuwafukuza kazi" hakufanya hivyo na badala yake akawaacha kwenye "Baraza la Mawaziri", tatizo ni lile lile "koleo haliitwi koleo."
Inasikitisha. Nimesoma na Taji shule moja (Nikiwa High School yeye akiwa O-Level) na kwa wakati fulani nilifanya kazi na Mamake, hii story imeniharibia siku kabisa. Yapo mambo maishani hayapaswi kukumbukwa, hili ni mojawapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.