Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Jamaa was a real jembe,it's a big pigo to soka's fans,mimi binafsi nilikuwa namkubali sana na naamini ni mmoja wa watu waliotengeneza mafanikio ya Simba ya mwaka huu kwa juhudi zao binafsi,watani wana kazi kubwa ya kuziba hili pengo otherwise mzigo utamuelemea ndugu yangu Okwi kwenye Kagame na michuano mingine ya mbeleni.
Anyway Rest In Peace Jembe.
Anyway Rest In Peace Jembe.