Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Inamaana hata jk kuna sauti ilimtokea? Mbona mpaka 2015 lazima kuna gamba litajitangaza ni nabiiKiranga, Membe naye na hii sauti kila akiulizwa utagombea anasema hajasikia sauti ikimwita! Hivi hii sauti itatoka wapi kwamba akilala asikie sauti akitembea asikie sauti. Nikisoma vitabu vitakatifu huwa nakutana na sauti zikiwaita mitume wakafanye kazi ya Mungu kama vile Sauli alivyoitwa. Sauti kama anayoisema Membe huwa inatoka kwa Mungu kwensa kwa wateule wake ili wamfanyie kazi. Ina maana anasubiri sauti toka kwa Mungu?