Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana

Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana

ukisoma akikisha una kitambaa cha kufutia machozi

Mwaka 1978, Mwalimu Nyerere akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimfukuza kazi aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na uchukuzi, Augustine Mwingira na aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege (ATC), Laurance Mmasi, katika tukio ambalo linaweza kufananishwa na tukio lililoibuliwa na ripoti ya CAG kuhusu ufisadi katika Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).
Katika tukio hilo la Mwalimu Nyerere, Shirika la Air Tanzania (ATC) lilikodi ndege kutoka kwa raia wa Lebanon, George Hallack, ndege ambayo ilikuwa mbovu, ikiwa ‘imeruka' kwa saa ambazo ni pungufu ya zile zilizohitajika kwa mujibu wa utaalamu wa ripoti za watalaamu.
Ilibainika kuwapo kwa njama katika mkataba huo ambao ndege iliyokodiwa iliishia kuegeshwa katika uwanja wa ndege na ‘kuoza.' Ni kutokana na hali hiyo, Mwalimu akawafuta kazi Waziri na Mkurugenzi wa ATC.
Tukio hilo linafanana na hili la sasa. Katika tukio la sasa, menejimenti ya Shirika la Ndege (ATCL) imekodi ndege aina ya Airbus, namba A320214 kutoka Shirika la Wales Trading la Lebanon, Oktoba, mwaka 2007, nchini Lebanon ambayo ripoti za watalaamu zilibainisha kuwa ni ndege mbovu lakini shirika lilikodi bila kuzingatia maslahi ya taifa.
Akizungumzia tukio hilo, Mbunge Amina Mohamed Mwidau ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), anasema: "...kwa kweli katika mashirika ambayo tumeyapitia (kuyakagua) shirika ambalo lilinifanya nikaumwa kichwa na kusikia kizunguzungu na nikalala na homa ni ATCL."
Mwidau ambaye alizungumza maneno hayo bungeni na mbunge mwenzake kuingilia kwa kuropoka "kwa nini asianguke kutokanana na kizunguzungu hicho, alisema menejimenti ya ATCL ilionyesha kiburi kikubwa kwa kuingia mkataba na Wales Trading bila ridhaa wala dhamana ya Serikali.
"Waliingia mkataba kwa miezi takriban saba bila ya dhamana ya Serikali. Mbali ya hilo, lakini pia ilinisikitisha sana kwa sababu kulikuwa na timu ya wataalamu ambayo ilitoa taarifa kuwa si jambo la busara kukodi ndege ile kwa sababu baada ya miezi takriban sita itaenda tena matengenezo makubwa kwa kitaalamu ni 12 years checks ambayo najua Waziri Nundu pale anafahamu.
"Ni matengenezo makubwa ambayo ndege hiyo inatakiwa ibadilishwe vitu vingi, lakini wao walidharau, walidharau ushauri wa wataalamu wale ambao wako kwa ajili ya kushauri shirika na wanalipwa, wakaweza kusaini mkataba ule ambao ni wa miaka sita, ni takribani ni miezi 72.
"Lakini pia kilichonisikitisha zaidi ni pale walipokubaliana katika mkataba ule, rate ya kukodisha ndege ile itakuwa ni dola 374,000 kwa mwezi, kama imeruka au haijaruka na ndege ile ilikaa miezi takribani 48 katika mikono ya ATCL. Katika miezi hiyo 48 ni miezi saba tu ambapo ndege ile iliweza kuruka lakini miezi 41 ilikuwa chini.
"Kwa ujumla mpaka kufikia tarehe 30 Januari, 2010 Shirika la Wales Trading lilileta hesabu yake kwa ATCL inaonyesha kuwa deni lile lilikuwa limesimama kwenye takriban pesa za Kitanzania bilioni 323 ambayo ni sawa sawa na dola milioni 200...pesa inayoweza kununua ndege mbili ambazo ni aina hiyo hiyo ya Airbus 320 ambayo ukiangalia kwenye website ya Airbus utakuta bei ya ndege moja mpya (a brand new aircraft) ya aina hiyo imesimama kwenye dola milioni 88.3.
"Kwa hiyo, tungeweza kupata ndege mbili mpya na chenji ikabakia, lakini manejementi hii imeonyesha dharau kwa sababu timu ya wataalamu ime-prove ni kweli ndege ile imeruka miezi saba na ikaenda matengenezo. Imenisikitisha sana kwa sababu watendaji wale walionyesha dharau na inaonyesha kuwa hawapo peke yao lazima wana mashiko sehemu wanayoyategemea na ndiyo maana wakafanya kiburi kile cha hali ya juu."
Shinikizo dhidi ya Waziri Mkuu
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota' wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.
Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mkutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng'oa' Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang'olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.
Zitto mwenyewe amelieleza gazeti hili akisema: "Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng'oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang'oka, rekodi zimeshajiandika."
 
tanzania hatuhitaji ndege, bora ndege hizo waziache wakomae na barabara, tujaze ma vv kibao yenye speed 400 dar to mwanza masaa matano!!!!!
 
ukisoma kwenye nyekundu sitosita kusema kwa nini tusianze kunyonga watu kama CHINA kuleta heshima kwa watoto wetu wajao,,vinginevyo tunapoelekea hata watoto zetu watakuta hata vitasa vya maofisi vimeondka lakini tukinyonga wakurugenzi walioiba watatu wanne nawaambia tutaona watu wakichaguliwa na raisi na KURESIGN KAMA MKUU WA WILAYA YA MBOZI KUOGOPA ILE MACHINE PALE DOM NA HIYO NDIO SOLN NOTHING ELSE ...UKIONA MTU MWENYE HESHIMA NA SUTI YAKE YA KICHINA KAMA PM ANASEMA SWALA LA KUSAMEHE BASIII MEANS KUNA UCHAFU MWINGI SANA WAMEAMEHE NA WALIFANYA KWA MAKUSUDI SASA AKUNA HAJA ZAIDI YA KUCHINJA AAAHHH SAMAHANI KUNYONGA EASY..NAOMBA MSINIPELEKE JALADA LANGU KWA DP KAMA ......MH......
 
ukisoma akikisha una kitambaa cha kufutia machozi

Mwaka 1978, Mwalimu Nyerere akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimfukuza kazi aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na uchukuzi, Augustine Mwingira na aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege (ATC), Laurance Mmasi, katika tukio ambalo linaweza kufananishwa na tukio lililoibuliwa na ripoti ya CAG kuhusu ufisadi katika Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).
Katika tukio hilo la Mwalimu Nyerere, Shirika la Air Tanzania (ATC) lilikodi ndege kutoka kwa raia wa Lebanon, George Hallack, ndege ambayo ilikuwa mbovu, ikiwa ‘imeruka' kwa saa ambazo ni pungufu ya zile zilizohitajika kwa mujibu wa utaalamu wa ripoti za watalaamu.
Ilibainika kuwapo kwa njama katika mkataba huo ambao ndege iliyokodiwa iliishia kuegeshwa katika uwanja wa ndege na ‘kuoza.' Ni kutokana na hali hiyo, Mwalimu akawafuta kazi Waziri na Mkurugenzi wa ATC.
Tukio hilo linafanana na hili la sasa. Katika tukio la sasa, menejimenti ya Shirika la Ndege (ATCL) imekodi ndege aina ya Airbus, namba A320214 kutoka Shirika la Wales Trading la Lebanon, Oktoba, mwaka 2007, nchini Lebanon ambayo ripoti za watalaamu zilibainisha kuwa ni ndege mbovu lakini shirika lilikodi bila kuzingatia maslahi ya taifa.
Akizungumzia tukio hilo, Mbunge Amina Mohamed Mwidau ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), anasema: "...kwa kweli katika mashirika ambayo tumeyapitia (kuyakagua) shirika ambalo lilinifanya nikaumwa kichwa na kusikia kizunguzungu na nikalala na homa ni ATCL."
Mwidau ambaye alizungumza maneno hayo bungeni na mbunge mwenzake kuingilia kwa kuropoka "kwa nini asianguke kutokanana na kizunguzungu hicho, alisema menejimenti ya ATCL ilionyesha kiburi kikubwa kwa kuingia mkataba na Wales Trading bila ridhaa wala dhamana ya Serikali.
"Waliingia mkataba kwa miezi takriban saba bila ya dhamana ya Serikali. Mbali ya hilo, lakini pia ilinisikitisha sana kwa sababu kulikuwa na timu ya wataalamu ambayo ilitoa taarifa kuwa si jambo la busara kukodi ndege ile kwa sababu baada ya miezi takriban sita itaenda tena matengenezo makubwa kwa kitaalamu ni 12 years checks ambayo najua Waziri Nundu pale anafahamu.
"Ni matengenezo makubwa ambayo ndege hiyo inatakiwa ibadilishwe vitu vingi, lakini wao walidharau, walidharau ushauri wa wataalamu wale ambao wako kwa ajili ya kushauri shirika na wanalipwa, wakaweza kusaini mkataba ule ambao ni wa miaka sita, ni takribani ni miezi 72.
"Lakini pia kilichonisikitisha zaidi ni pale walipokubaliana katika mkataba ule, rate ya kukodisha ndege ile itakuwa ni dola 374,000 kwa mwezi, kama imeruka au haijaruka na ndege ile ilikaa miezi takribani 48 katika mikono ya ATCL. Katika miezi hiyo 48 ni miezi saba tu ambapo ndege ile iliweza kuruka lakini miezi 41 ilikuwa chini.
"Kwa ujumla mpaka kufikia tarehe 30 Januari, 2010 Shirika la Wales Trading lilileta hesabu yake kwa ATCL inaonyesha kuwa deni lile lilikuwa limesimama kwenye takriban pesa za Kitanzania bilioni 323 ambayo ni sawa sawa na dola milioni 200...pesa inayoweza kununua ndege mbili ambazo ni aina hiyo hiyo ya Airbus 320 ambayo ukiangalia kwenye website ya Airbus utakuta bei ya ndege moja mpya (a brand new aircraft) ya aina hiyo imesimama kwenye dola milioni 88.3.
"Kwa hiyo, tungeweza kupata ndege mbili mpya na chenji ikabakia, lakini manejementi hii imeonyesha dharau kwa sababu timu ya wataalamu ime-prove ni kweli ndege ile imeruka miezi saba na ikaenda matengenezo. Imenisikitisha sana kwa sababu watendaji wale walionyesha dharau na inaonyesha kuwa hawapo peke yao lazima wana mashiko sehemu wanayoyategemea na ndiyo maana wakafanya kiburi kile cha hali ya juu."
Shinikizo dhidi ya Waziri Mkuu
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota' wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.
Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mkutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng'oa' Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang'olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.
Zitto mwenyewe amelieleza gazeti hili akisema: "Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng'oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang'oka, rekodi zimeshajiandika."



....Can I have a Tissue, Please?......:A S-cry::A S-cry:
 
Tangu lini "Chizi" akaongoza Shirika kwa ufanisi?
 
Sasa upya na umiliki wa ATCL wa ndege ya kukodi kutoka UAE uko wapi ? Ni sawa na madereva taxi au Dala dala, maana magari hayo sio ya kwao, kila jioni au mwisho wa wiki wanapeleka hesabu kwa mwenye gari.
 
....Can I have a Tissue, Please?......:A S-cry::A S-cry:
naona kitufe cha 'like' kinarespond kuwa kuna makosa.

Jamani, kwa wale walioko mitaa ya Kipawa na airport tujuze kama imetua. najua wazo la kuandamana kupinga huu ukodishaji kwa sasa haliwezekanai. Hii ni kwa sababu zaidi ya watu 25 nilioongea nao tangia leo asubuhi hakuna hata mmoja anayejua kuwa ndiye anahusika na kulipia hizo gharama bali nasema "serikali si itatoa!?". labda tuombee haya mapambano yaanzie Arusha, Mwanza au Mbeya
 
Nakumbuka JK aliahidi Airbus mbili A-320s by 2012. Alisema Airbus wana order yetu tayari na kwamba wakati tunasubiri delivery tutakodisha. See below;

CONTENT:
UNCLAS DAR ES SALAAM 000003

SIPDIS

SENSITIVE, SIPDIS

DEPT AF/E FOR JLIDDLE, AF/EPS FOR ABREITER
PASS USTR FOR FLISER, WJACKSON AND COMMERCE/ITA FOR BERKUL
NAIROBI FCS FOR JSULLIVAN
ADDIS FOR AU MISSION

E.O. 12958: N/A
TAGS: ETRD, EFIN, EAID, ECON, PREL, TZ
SUBJECT: AUSTR LISER DISCUSSES BOEING AND FLEET EXPANSION WITH AIR
TANZANIA BOARD

REF: 07 DAR ES SALAAM 1074
Summary
-------
1. (U) AUSTR Florie Liser learned from David Mattaka, Chief
Executive Officer of Air Tanzania Company (ATC,) and three ATC Board
Directors in a November 13 meeting in Arusha that the Board had
recommended to the Government of Tanzania (GOT) to acquire Airbus
A-320s (narrow body planes) to expand its aging fleet on regional
routes. For longer routes to Europe and Asia, ATC may lease Boeing
767-200's in the short-term and purchase new A-330s in 2012.
Mattaka told AUSTR Liser that the ATC Board had preferred the Airbus
company's delivery dates for new aircraft and its credit incentives.
Dr. Juma Ngasongwa, GOT Minister of Planning and Economy, who had
arranged the meeting on instructions from President Kikwete,
emphasized that the GOT felt an "urgency" to get its national
airlines back on track, thus preferred earlier delivery dates.
Mattaka said the leasing agreements ATC will pursue in the short
term are separate from the purchase package. End summary.

3. (SBU) AUSTR Liser stressed that a non-transparent process could
have "severe effects" on Tanzania's investment climate, adding that
she had been concerned enough to raise this issue in her November 12
meeting with President Jakaya Kikwete. Liser understood from
President Kikwete that a decision might have already been made by
ATC to select Airbus for regional transport routes. For longer
routes, e.g. to China and India, the President had indicated that
Air Tanzania was tending toward Boeing aircraft, but "that decision
was still in process."

6. (U) The ATC Board then analyzed and compared the Boeing and
Airbus proposals. While the cost difference of the two companies'
aircraft was not significant (about USD 500,000), the delivery dates
were: Airbus promised 2012 delivery vs. Boeing in 2014. Another
significant difference the ATC Board noted was the credit memo
incentives. According to Mattaka, Boeing's incentives were fewer
and linked to a full purchase agreement. Thus no credits could be
used during the period that ATC might need to lease planes. To use
the credit lines Boeing offered, an initial deposit had to be made
first. On the other hand, Airbus credit memos would immediately be
available, even during any leasing period. Mattaka added that
Boeing had also asked ATC to present a balance sheet, and wanted a
guarantee for all transactions from the Government of Tanzania.
"Boeing thought we were not creditworthy and wanted a balance sheet;
Airbus did not ask for balance sheets," he said.
 
Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana



Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Ndege la Air Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya Boeing 737-500 ambayo inatarajia kuwasili leo hii Mchana (Alhamisi) kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jana ilieleza.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 108 imekodiwa kutoka katika kampuni ya Aero Vista iliyopo nchini Dubai na tayari imeshafanyiwa uchunguzi na timu ya wataalam kutoka katika Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) nchini Misri ilikoperekwa kwa ajili ya uchunguzi huo.
“Wataalam kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) wamekamilisha uchunguzi wa ndege ambayo kwa sasa ipo jijini Cairo, Misri na ndege itarejea nchini kwetu leo hii mchana.
“Ndege hiyo imeshawekwa chata ya Kampuni ya ATCL na baada ya kuwasili tunetegemea itaanza kufanya safari mara moja,” Taarifa hiyo ilisema.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa ndege hiyo itakuwa na uwezo wa kuchukua abiria 12 kwenye daraja la kwanza (business class) pamoja na abiria 96 kwenye daraja la kawaida (economy class).
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Bw. Paul Chizi akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam wiki chache zilizopita alitoa maelezo kwa uchache juu ya ujio wa ndege hiyo lakini hakuweza kufafanua zaidi kuhusiana na ndege hiyo.
Chizi alisema kuwa mipango ya ujio wa ndege hiyo ilikuwa ni mipango ya muda mfupi iliyowekwa ili kuboresha huduma za ndege alisisitiza kuwa kampuni tayari ina mpango wa muda mrefu ambao utafanyiwa kazi kikamilifu.
ATCL hivikaribuni imezindua tovuti ikiwa katika jitihada za kuboresha huduma kwa wateja pamoja na kuongeza ubora wa ndege hiyo ya kitaifa.
Tovuti hiyo itawawezesha wateja kupata taarifa ya safari za ndege bila ya kufika katika ofisi za kampuni hiyo au mawakala na kuwawezesha wateja kutoa maoni yao kupitia mitandao ya kijami
Kweli mapendekezo ya bunge hayafuatwi ilisemwa kampuni ifilisiwe na kampuni mpya ianzishwe now waturudishs kwenye deni lingine la lebanon.
 
Mwaka 2015 Raisi atakayechukua Nchi atakuta madeni kila kona.

hadi IKULU ajiandae kujenga yake kwani itakuwa imefidia Deni kama ilivyo Bandari ya Mtwara.

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU WALAAAANI MAFISADI NA VIONGOZI WA SERIKALI.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Post nyingine inayoonyehs Mataka alitaka apewe kitu kidogo katika ununuzi wa ndege mpya;

SIPDIS

SIPDIS

DEPT FOR AF/E RMEYERS, SHAMILTON
AF/EPS FOR THASTINGS, AF/EB
PASS TO DEPARTMENT OF COMMERCE FOR ITA
ALSO PASS TO MCC FOR MKAVANAGH, GBREVNOV
NAIROBI FOR FCS

E.O. 12958: DECL: 09/13/2017
TAGS: ETRD ECON PGOV BEXP TZ
SUBJECT: BOEING AND AIR TANZANIA: THE STRUGGLE TO ENSURE
TRANSPARENCY AND A LEVEL PLAYING FIELD

REF: DAR ES SALAAM 1074

Classified By: Deputy Chief of Mission D. Purnell Delly for
reasons 1.4 b and d.

SUMMARY
--------
1. (C) As Air Tanzania shops for new airplanes for its aging
fleet, we remain troubled by separate press reports, quoting
Air Tanzania leadership and most recently the Minister of
Infrastructure, that a decision has been made in favor of
Airbus. This decision would have been made without any
serious negotiations with Boeing. We have actively engaged
at the highest reaches of this government, and for the moment
halted the rush to Airbus and opened a window that Boeing
intends to exploit. Air Tanzania now seems to be seriously
evaluating the leasing and sale options offered by Boeing.
But we do not believe we are out of the woods, in view of
early efforts to pressure Boeing to hire an "agent," and
subsequent rumors that China is tying aid to purchase of
Airbuses in order to give business to the joint manufacturing
facility being built in China. Ambassador Green raised MCC,
the importance of transparency to the investment climate, and
a level playing field for Boeing in his presentation of
credentials to President Kikwete on September 12. Earlier
the DCM had called on the Infrastructure Minister and spoken
with a close advisor to the President underscoring the same
points. We will continue to press hard not only on behalf of
Boeing, but the importance of transparency and a level
playing field to the positive investment climate Kikwete is
working to create. END SUMMARY.

¶3. (C) Subsequent to meetings with Faye, the DCM raised the
issue of Air Tanzania's dealings with Boeing and Airbus in
conversations with a close advisor to President Jakaya
Kikwete. The DCM specifically noted Air Tanzania Managing
Director and CEO, David Mattaka's unusual "suggestion" that
Faye should contact a wealthy South Asian hotelier, who
subsequently suggested to Faye that he would need his
services to open the right doors in government. Faye flatly
refused, responding that Boeing does not use "agents" in
Tanzania or elsewhere.
(Comment: "Agents" and steep
"commissions" have been at the heart of several corruption
scandals here, including a BAE radar deal in which the GOT
paid a 31 percent commission to a Tanzanian agent, much of
which ended up in Swiss bank accounts, according to a UK
Parliamentary investigation. Despite the fact that the UK
shared this evidence with Tanzania's corruption board, no
evident action has been taken. End Comment.) The
presidential advisor later got back to the DCM, telling him
that President Kikwete was "incensed" upon learning that
senior Air Tanzania officials might be intending to profit
personally from the deal.
 
Mwaka 2015 Raisi atakayechukua Nchi atakuta madeni kila kona.

hadi IKULU ajiandae kujenga yake kwani itakuwa imefidia Deni kama ilivyo Bandari ya Mtwara.

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU WALAAAANI MAFISADI NA VIONGOZI WA SERIKALI.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
kila binadamu aombalo kwa nia ya kweli na haki kutoka moyoni mwake hakika Mwenyezi Mungu hataacha lipite! Tegemea majibu mkuu
 
ukisoma akikisha una kitambaa cha kufutia machozi

Mwaka 1978, Mwalimu Nyerere akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimfukuza kazi aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na uchukuzi, Augustine Mwingira na aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege (ATC), Laurance Mmasi, katika tukio ambalo linaweza kufananishwa na tukio lililoibuliwa na ripoti ya CAG kuhusu ufisadi katika Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).
Katika tukio hilo la Mwalimu Nyerere, Shirika la Air Tanzania (ATC) lilikodi ndege kutoka kwa raia wa Lebanon, George Hallack, ndege ambayo ilikuwa mbovu, ikiwa ‘imeruka’ kwa saa ambazo ni pungufu ya zile zilizohitajika kwa mujibu wa utaalamu wa ripoti za watalaamu.
Ilibainika kuwapo kwa njama katika mkataba huo ambao ndege iliyokodiwa iliishia kuegeshwa katika uwanja wa ndege na ‘kuoza.’ Ni kutokana na hali hiyo, Mwalimu akawafuta kazi Waziri na Mkurugenzi wa ATC.”

""""""".."";;'' Kama ingelikuwa aaaa binadamu anakata Rufaa ya Kifo oooo""";;;... inapotokea ..."""... mbele ya Mungu na mimi ningekata Rufaa.

Nirudishiwe Mwl. Nyerere wangu"";;;... Niliyempenda hapa Duniani lakini nina shindwa sijui nifanye. """;;;... Nyerer nilimpenda:";;;;... kwa kazi yake nzuri eeeeeeee.


:A S cry::A S cry::A S cry:

HADI MWAKA 2015 TANZANIA ITATAWALIWA TENA NA WAZUNGU. NA NYERERE HATAFUFUKA TENA KUTUSAIDIA KUDAI UHURU.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
tujiandae kuwapa mgodi mmojawapo pindi tu tutakoshindwa kuwalipa wale waliotukodisha
 
Hiyo ndio hofu yangu! Btw, umeona jina la huyo meneja? Jina lake tu linanikatisha tamaa, Chizi?!!!!" Kuna shirika tena hapo?

pole sana jina alionyeshi utendaji wa kazi jamaa anachapa kazi we acha tu.hongera ATCL kwa hatua moja mliyopiga
 
Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana



Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Ndege la Air Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya Boeing 737-500 ambayo inatarajia kuwasili leo hii Mchana (Alhamisi) kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jana ilieleza.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 108 imekodiwa kutoka katika kampuni ya Aero Vista iliyopo nchini Dubai na tayari imeshafanyiwa uchunguzi na timu ya wataalam kutoka katika Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) nchini Misri ilikoperekwa kwa ajili ya uchunguzi huo.
"Wataalam kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) wamekamilisha uchunguzi wa ndege ambayo kwa sasa ipo jijini Cairo, Misri na ndege itarejea nchini kwetu leo hii mchana.
"Ndege hiyo imeshawekwa chata ya Kampuni ya ATCL na baada ya kuwasili tunetegemea itaanza kufanya safari mara moja," Taarifa hiyo ilisema.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa ndege hiyo itakuwa na uwezo wa kuchukua abiria 12 kwenye daraja la kwanza (business class) pamoja na abiria 96 kwenye daraja la kawaida (economy class).
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Bw. Paul Chizi akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam wiki chache zilizopita alitoa maelezo kwa uchache juu ya ujio wa ndege hiyo lakini hakuweza kufafanua zaidi kuhusiana na ndege hiyo.
Chizi alisema kuwa mipango ya ujio wa ndege hiyo ilikuwa ni mipango ya muda mfupi iliyowekwa ili kuboresha huduma za ndege alisisitiza kuwa kampuni tayari ina mpango wa muda mrefu ambao utafanyiwa kazi kikamilifu.
ATCL hivikaribuni imezindua tovuti ikiwa katika jitihada za kuboresha huduma kwa wateja pamoja na kuongeza ubora wa ndege hiyo ya kitaifa.
Tovuti hiyo itawawezesha wateja kupata taarifa ya safari za ndege bila ya kufika katika ofisi za kampuni hiyo au mawakala na kuwawezesha wateja kutoa maoni yao kupitia mitandao ya kijami

Wewee!AIR NUNDU hiyo inaingia!! ni mpya kweli au imetumika na kukodiwa???
 
Ngoja Precision wasikie WATAIANGUSHA SASA HIVI ! hao jamaa Noma sana ! hao ndio wanahusika na ndege kuanguka anguka ili kuua mashirika hayo! ATC kaza buti hakika mkijipanga vizuri mtaweza, Kila la KHERI , na safari zote za serikali na mashirika ua umma inabidi mpewe nyie ili kuiinua shirika ! hapo ndio soo la precision linapoanza

Mkuu mkomatembo, unataka kusema kuna mizizioloji?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom