.
Utasikia akijisifia darasa la saba la mkoloni equivalent to form Six ya sasa.
Sidahni kama ni darasa la saba........kabla ya ubunge alikuwa ofisa TRA......Sidhani pia kama TRA bado in maofisa darasa la saba
Mbona mgombea umakamu wa Rais kwa tiketi ya Chadema mwaka 2010 alikuwa darasa la saba?.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUJUE TABIA YAKO".
Ndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 RAMADHANI A MANENO, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA elimu yake ni DARASA LA SABA_____________TAFAKARI.
Cha ajabu kipo wapi hapo? Mbona tunaambiwa wanafunzi wengi wapo sekondari lakini hawajui kusoma wala kuandika!mhhh! Darasa la saba tu!!!!
mhhh. kazi kwelikweli, kama ni darasa la 7 kwelikweli atakuwa hata ung'eng'e haupandi! na ikitokea wakija wageni kutembelea wilaya yake kutoka ng'ambo atakuwa anawakimbia kama mshikaji wangu fulani ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri na ni standard 7 lever anapatashida sana wakija wageni lazima atakula kona na kumwachia kazi makamu mwenyekiti wa halmashauri ambaye ni form 4 amsaidie kazi
Huyo ndo JK bana
Sema wewe mhogo......
Kwani kuna kazi gani ya kumshinda darasa la saba. Hiyo kazi ataiweza. Sijui in job description?