dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
jeneza kutoka hapa lilipo kupelekwa kwenye gari tayari kwa kwenda uwanja wa ndege litabebwa na viongozi na kamati tendaji ya Simba tu.
Na huu ndo mwisho wa shughuli hii ya kuuaga mwili wa mchezaji wa simba sport club bw. mafisango aliyekufa kwa ajali ya gari jijini dar es salaam.
Kutoka hapa kwenye viwanja vya ttc club chang'ombe temeke dar es salaam ni mimi reporter wenu dubu wa jamiiforums. kwaherini.
Na huu ndo mwisho wa shughuli hii ya kuuaga mwili wa mchezaji wa simba sport club bw. mafisango aliyekufa kwa ajali ya gari jijini dar es salaam.
Kutoka hapa kwenye viwanja vya ttc club chang'ombe temeke dar es salaam ni mimi reporter wenu dubu wa jamiiforums. kwaherini.
Last edited by a moderator: