Hakimu katenda haki tena angemuweka maisha lupango km kamfanyia wakwake twajuaje wajirani zake ambao hawakusema kwa kuogopa fedhea, ngoja aende huko lupango akutane na ibilisi wenyewe naombea wakamuoe.
Wapo na wanawake waliopo ktk ndoa wanakwenda na wakati na wamekaa kinyegest na waume zao bado wenda small house hiyo ni hulka iso dawa na uzinzi juu yake.
Wanajf nijuzeni hivi huyu mzee mwenye nywele nyeupe kuna agenda gani ya siri ndani yake mbona siku hizi anajifanya yuko karibu na wananchi, leo nimesikia eti anakoromea hospital binafsi wasiotaka kupokea majeruhi wa g'mboto mi binafsi naona kuna kitu nawakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.