Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Jamani kaswali kadogo ka kizushi tu lakini kanasumbua ubongo kwelikweli. Hivi ni kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "baby" au "mtoto". Tafadhali wajuzi wa haya masuala watujuze.