Mimi naweza kuzuga sina nipo vibaya au sina ela kwa wakati huo, lakini ni ngumu kumtumia pea Mwanamke ambae hatujakutana nikamjua au kujua nina malengo gani na yeye. Thats all for me.
Habari wanajukwaa, Natumai mu wazima.
Naomba kuanza kwa kusema sijaleta habari za uhakika kuhusu kitabu tajwa hapo juu, ili nimepata shauku ya kuleta uzi huu ili kupata habari na uelewa au kupata habari za uhakika kwa kuwa JF ni jukwaa la uhakika na kuaminika kwa miaka mitatu sasa ya uzoefu...
Ni zao la faida sana, hapa sua kuna research inaendelea, kujaribu kuibebesha , yaan grafting ili tuweze kupata aina ya miche ya kitaalam ambayo itazaa kwa muda mfupi zaidi, katika kimo kifupi na kuvumilia hali yha joto kidogo,
Upo wapii mkuu, Km unaweza kufika morogoro zipo znapatikana za kutosha. Znasaidia sana kupunguza transplanting shock kwa horticultural crops, ukipanda znabak vilevile bila kunyauka. Ukifika moro nenda Horiculture Unit, kuna bwana anaitwa, Godwin, Macha au Salum, watakusaidia kwa order lakin...
Mm mock nilipata four, bit still necta nkapa BBD in PCB, nilikomaa na wale mabundi watabe wa tuit za mgote mbuga, mandia na issue boy, nkatoboa saiv nipo chuo kikuu sec yr. Kaza buti usikate tamaa necta co ngum kivile km tahosa, jikane utatoboa. Jamaa angu alipata moko zero km wew, bt necta...
Alieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.