miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
Mi huwaga niko hivi jukwaa ambalo nyuzi zake naziamini sanasana ni Jukwaa la habari mchanganyiko,haya mengine nakujaga kuenjoy,sichukulii vitu serious kihivyo.
watu wanaanzisha uzi kutusema sisi wenye vibamia,mi hata sikasiliki,nacheka tu na maisha yanaenda kwasababu najua ni utani na hata kama ni kweli nakubaliana na hali yangu siyo ishu ilimradi kwenye shughuli demu wangu ananiambi"basi humphrey polepole!!!"inatosha sihitaji kingine
watu wanaanzisha uzi kutusema sisi wenye vibamia,mi hata sikasiliki,nacheka tu na maisha yanaenda kwasababu najua ni utani na hata kama ni kweli nakubaliana na hali yangu siyo ishu ilimradi kwenye shughuli demu wangu ananiambi"basi humphrey polepole!!!"inatosha sihitaji kingine