Recent content by kirabe

  1. kirabe

    Sauti Sol wamekubali kujiunga Freemasons?

    Yaani kusema kuzimu watu wanaenda na standard Gauge [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. kirabe

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hakuna maana kusajili mtu wakuja kujaribu kama ataweza, unasajili mtu wa uhakika kiufupi mtu amesha onyesha kudumu kwenye kiwango kwa misimu kadhaa. Vijana wakujaribu wapo wengi kwenye academy yetu tunaweza wapandisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kirabe

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], jamaa kaweka tatu
  4. kirabe

    Taxify ni kampuni hatari ya utapeli. Serikali inabidi ifuatilie upya

    Itakua alikua anaongelea bulldozer Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kirabe

    Je, miaka 7 bado ni umri sahihi kumuanzisha mtoto shule ya msingi?

    Upeo unaanza mtoto akiwa na umri gani? unataka kusema hao wanaoanzishwa, wanaanzishwa na mambo magumu?
  6. kirabe

    Trump launches military strike against Syria

    Itakua vita kati ya USA na Russia, sio vita ya dunia.
  7. kirabe

    TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

    Huo ni utamaduni tu, na ni kama heshima ya kiduniani huku
  8. kirabe

    TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

    usihukumu, maana kuhukumu si kazi ya mwanadamu
  9. kirabe

    Mbowe usiwachukue walioachwa na CCM

    makamanda wapya tunawakaribisha
  10. kirabe

    Tatizo ni viroba au wanywa viroba?

    dah hii idea ya biashara ni yakufanyia kazi
Back
Top Bottom