Recent content by King Mutesa

  1. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Tupeni mrejesho mliowekeza kwenye mashamba ya miti

    Hata ekari moja sio mbaya,kimfaacho mtu chake
  2. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Tupeni mrejesho mliowekeza kwenye mashamba ya miti

    Ushuhuda: Baada ya kufuatilia kilimo cha miti kupitia humu JF niliamua kujilipua na Mikaratusi, nilipanda 2016 kwa sasa ina miaka 3, mikaratusi inakimbia jamani huwezi amini, hapa nafikiria kuvuna nguzo niwauzie watu wa Cable Tv's.
  3. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Serikali chunguzeni wakurugenzi wa kigeni huu utajiri wanautoa wapi?

    Mishahara wanayolipana wazungu ni kufuru mkuu, Huku kanda ya magharibi haya makampuni ya Tobbaco mi nilihisi wazungu salary yao ni around 1-4million, Jamaa mmoja akaniambia wale wanalipwa kuanzia 20-40 million kwa mwezi,na bado kuna maposho kibao!
  4. King Mutesa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Salaam Mabaharia! Nimesikitishwa na response yenu ya mimi kula tunda ktk send-off,eti ni chai.! Jamani haya mambo yapo. Soon nadondosha nyingine nilivyokula tunda Disko!
  5. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Tupeane historia na visa vya Mwl J.K Nyerere hapa.

    Ni kweli alichonga meno!? Lengo lilikuwa nini hasa?
  6. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa treni reli ya kati yageuka sasa ni mateso

    Nondo eeehh! Nakukubali kinomaa wakazie hivyohivyo..! Hivi ilikuaje baada ya lile saga,ulimaliza degree yako?
  7. King Mutesa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Salaam Mabaharia.! Nimevutiwa kuleta kisa changu baada ya kusoma visa vya mabaharia wenzangu,ilikuaje.!? Twende sasa........... October mwaka huu nilipata fursa ya kuhudhuria moja ya send-off hapa mjini,kufika ukumbini hivi achaaaa mademu kibao full masmartphone na drone za kutosha.Bila...
  8. King Mutesa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku Watu walipoamua kumkomesha Mzee wa Chabo

    Choni..... na Se...... Sent using Jamii Forums mobile app
  9. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Mkuu hivi spea za pikipiki wanachukulia wapi!?
  10. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya BOT na M-Pesa utaisha lini ili Templer for Empler Forex atumie M-Pesa?

    Wanavutana kodi! 33% wanadai ni ndogo ukilinganisha na mapato yanayoingia.!
  11. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha nyanya wakati wa masika

    Ni ndefu kiasi ila si kama zile za miezi 6, na kama utaipa matunzo vizuri mche mmoja fito 3-5
  12. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha nyanya wakati wa masika

    Panda Eden F1 iko vizuri sana!
  13. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    Kilimo cha tikiti kina gharama sana, Mbegu ni laki 2 kwa 500gm,then uzaaji wake ni kila shina tikiti moja ni bahati sana kukuta matunda mawili katika shina,and then ujitahidi sana tena sana,narudia tena ujitahidi sana kila shina upate tikiti kubwa(wakulima wanaita Ndonga),ina maana ukitoa chenga...
  14. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    Zipo, siku 80
  15. King Mutesa

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    Kwa uzoefu wangu ni tofauti na tikiti!
Back
Top Bottom