King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
Hata ekari moja sio mbaya,kimfaacho mtu chakeTatizo lako una panda ekari 2 . Miti ukitaka udaidi panda kuanzia ekari 50.
Imagine 50×400= unakua na miti 20000.
20,000x20000= 400,000,000
Hii ina maana kila baada ya miaka 10 unavuna mil 400
Sent using Jamii Forums mobile app