kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Habari za weekend wanajamvi.
Wakuu naombeni ushauri wa mbegu bora ya nyanya ya kisasa inayostahimili wakati wa masika na bei yake. Naomba kuzijua mbegu zinazozaa vizuri wakati huo na zinazovumilia magonjwa.
Natumaini kuwa nitasaidiwa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Wakuu naombeni ushauri wa mbegu bora ya nyanya ya kisasa inayostahimili wakati wa masika na bei yake. Naomba kuzijua mbegu zinazozaa vizuri wakati huo na zinazovumilia magonjwa.
Natumaini kuwa nitasaidiwa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.