Tubua mama, ila umechelewa kufanya hivyo tumekuwa tukilalamikia time hiyo kwa muda mrefu sana. Swali language kwa mh. Waziri in hili, Je, wale walio hitimu kwa vigezo vya kugushi wataruhusiwa kupata ajira kwa mujibu washeria? Pili, wahitimu hao shahada zao zitahesabika kuwa ni halali?
Tubua mama, ila umechelewa kufanya hivyo tumekuwa tukilalamikia time hiyo kwa muda mrefu sana. Swali language kwa mh. Waziri in hili, Je, wale walio hitimu kwa vigezo vya kugushi wataruhusiwa kupata ajira kwa mujibu washeria? Pili, wahitimu hao shahada zao zitahesabika kuwa ni halali?
Tigo ushawishi wake bado maana imechagua maeneo na mikoa, mikoa mingi badio hawaja link. Hapo ndo wanapochukulia Ttcl na Halotel point, hats mi bado cjashawishika!
Wanako upeleka upinzani binafsu sifurahishiwi nako hats kidogo. Wanadhani kuwa mpinzani no lazima kupinga kila kinacho fanywa na serikali hata kama kikiwa kizuri. Kumbe kwa uelewa wangu upinzani ni kutoa mawazo mbadala ambayo ni chanya kwa serikali iliyopo madarakani.
Kumbe inawezekana Tz bila kunyonyana, na hapo kila mtu atafurahia taifa lake na kulipa kodi kwa. hiyari bila hata kulazimishwa. Mi nazidi kuomba washushe zaidi ya hapo, gesi mbona tunayooo!!
Wazo langu hapo kila mwl apeleke vyeti halisi kwa tume ya ukaguzi, vile vya elimu ya secondary na vya utaalam wake, hapo watu lazima wapoteane wengi sanaaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.