Recent content by Kilima mpunga

  1. K

    Naomba kuuliza maana ya alama hizi

    Wataalam tumieni taaluma yenu kuelimisha uma
  2. K

    Serikali yaivunja Bodi ya TCU, yawasimamisha kazi vigogo

    Tubua mama, ila umechelewa kufanya hivyo tumekuwa tukilalamikia time hiyo kwa muda mrefu sana. Swali language kwa mh. Waziri in hili, Je, wale walio hitimu kwa vigezo vya kugushi wataruhusiwa kupata ajira kwa mujibu washeria? Pili, wahitimu hao shahada zao zitahesabika kuwa ni halali?
  3. K

    Serikali yaivunja Bodi ya TCU, yawasimamisha kazi vigogo

    Tubua mama, ila umechelewa kufanya hivyo tumekuwa tukilalamikia time hiyo kwa muda mrefu sana. Swali language kwa mh. Waziri in hili, Je, wale walio hitimu kwa vigezo vya kugushi wataruhusiwa kupata ajira kwa mujibu washeria? Pili, wahitimu hao shahada zao zitahesabika kuwa ni halali?
  4. K

    I am in love with my brother

    That is a shame, pepo hilo inabidi uombewe kwa sala ya toba!!
  5. K

    Tigo 4G ni hatari sana, Halotel ikae mbali sasa

    Tigo ushawishi wake bado maana imechagua maeneo na mikoa, mikoa mingi badio hawaja link. Hapo ndo wanapochukulia Ttcl na Halotel point, hats mi bado cjashawishika!
  6. K

    Mwendo wa kuumbuana tu bungeni

    Mwaga mboga, mwaga ugali!
  7. K

    Siku KUB akisoma hotuba yake bungeni Wabunge wote wa CCM tokeni nje

    Mimi nitawaunga mkono endapo watafanya hivyo, watoke hata wasipo sema sababu maana hao ukawa wamezoea kulialia kama watoto, kulialia tuuuu
  8. K

    Mch. Peter Msigwa, kwa Mahojiano ya ITV jana umechemka sana

    Wanako upeleka upinzani binafsu sifurahishiwi nako hats kidogo. Wanadhani kuwa mpinzani no lazima kupinga kila kinacho fanywa na serikali hata kama kikiwa kizuri. Kumbe kwa uelewa wangu upinzani ni kutoa mawazo mbadala ambayo ni chanya kwa serikali iliyopo madarakani.
  9. K

    Ushauri: Rais Magufuli mfutie kesi kijana huyu

    Kilicho mfanya atumie mtandao vibaya ni nani? Akajiachie na huko kwenye wa babe wa kisheria.
  10. K

    Rais Magufuli atembelewa na Odinga nyumbani kwake Chato

    Achote na busara na uzalendo wa mzee JPM
  11. K

    Namuunga mkono Ray C kwa anachofanya Shigongo kwake

    Ye kumiliki wa teja wa udaku siyo awtumielie kupandikiza chuki kwa wengine
  12. K

    Ishu ya Kitilya(TRA) kuibua wengi sana, wengine tusiowategemea!

    Yamejificha mengi, na wako wengi nyuma yake.
  13. K

    EWURA yashusha bei za umeme kwa watumiaji wa viwango tofauti

    Kumbe inawezekana Tz bila kunyonyana, na hapo kila mtu atafurahia taifa lake na kulipa kodi kwa. hiyari bila hata kulazimishwa. Mi nazidi kuomba washushe zaidi ya hapo, gesi mbona tunayooo!!
  14. K

    Jinsi ya kuwanasa wafanyakazi hewa wa Serikali

    Wazo langu hapo kila mwl apeleke vyeti halisi kwa tume ya ukaguzi, vile vya elimu ya secondary na vya utaalam wake, hapo watu lazima wapoteane wengi sanaaaaa.
Back
Top Bottom