Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,587
- 28,749
hivi njugu nazo zimezagaa sana mwanza?Mbona wamezagaa sana mwanza kama njugu
Shabiki vibama wewe
hii lugha ni ya Mby
Huo ni urafik wao binafsi....hakuna wa kuwazuia.....Raila Odinga asafiri kijijini Chato kwa Rais Magufuli . Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Kenya ameenda kama rafiki yake wa muda mrefu nia ni kutembeleana kama marafiki.
Tutajulishana zaidi.
I like Odinga as I like Magufuli as I liked Dr Slaa
We all know that you love/like those guys and the reason is clear.I like Odinga as I like Magufuli as I liked Dr Slaa
Unaweza kuwa urafiki wa mashaka maana wawili hawa wana ideologia tofauti. Odinga ametoka katika familia ya matajiri na ni watu wanaoamini katika ubepari wakati magufuli anaamini maisha ya kuishi pamoja na kugawana kidogo tulichonacho kugawana woteSAFI SANA
Kimsingi Odinga family ilikuwa/ni wanaamini katika soshalisti. Baba yao Jaramogi alikuwa muuumini hasa wa Ujamaa fuatilia historia yake. Usisahau pia Raila mwenyewe alipelekwa kusoma east Germany ya kisoshalisti, na mwanae wa kwanza akiitwa Fidel (refer Fidel Castro).Unaweza kuwa urafiki wa mashaka maana wawili hawa wana ideologia tofauti. Odinga ametoka katika familia ya matajiri na ni watu wanaoamini katika ubepari wakati magufuli anaamini maisha ya kuishi pamoja na kugawana kidogo tulichonacho kugawana wote
Wewe ndio huifahamu historia ya Odinga family.Unaweza kuwa urafiki wa mashaka maana wawili hawa wana ideologia tofauti. Odinga ametoka katika familia ya matajiri na ni watu wanaoamini katika ubepari wakati magufuli anaamini maisha ya kuishi pamoja na kugawana kidogo tulichonacho kugawana wote
...Marxism is no longer around, and is practically eliminated from management system, on other hand, capitalism is bogged down by self-made quagmire... Ahmednejed.Wewe ndio huifahamu historia ya Odinga family.
Jielimishe kwanza kabla hujatoa angalizo ambalo ni hisia zako badala ya ukweli!
Sehemu ya elimu ya Raila Odinga ameipata katika nchi ya German ya Mashariki ambayo kwa wakati huo ilikuwa na uchumi wa kikomunisiti.
Asante kwa taarifa .hiii ni good news kwangu !Mbona wamezagaa sana mwanza kama njugu