Jumamosi saa kuanzia 1.30 tbc1 wanaonyesha ambao wanatoka na jumapili wanaonyesha wale wanaoingia kwenye Probation baada ya kuimba. Jumapili mda ni huo huo au ufuatilie kwani sometimes kama kuna jambo linatakiwa kuwepo wanapeleka mbele zaidi. Thx
Tatizo la comedy mbunifu na mtundu wa kubuni ni mmoja,joti akichoka wote wanachoka unategemeaa nini,wafanyae kama ulaya au america watafute watalaam wa comedy wawe wana wa train kuhusu kuwa wabunifu na wapate manager au msimamizi mzuri sio seki coz hata mwenyewe katokea kwenye maigizo ataweza...
its crazy,sory for using this word but,inauma sana,for our hope mr jk talking like that infront of the people especialy poor majority of tanzanians ni kama vile anahisi watu hawatajali,na good thing ni kwamba anawaelewa people who are stealing our money,but he is quiet,kwanini tusiseme na yeye...
It is the same story with me,kuna mtu wangu alinilazimisha nikajitambulishe kwao,but nilimweleza kuwa lets prepare our self before that lakini akazidi kulazimisha,mwishowe akasema wazazi wake wamemtafutia mchumba msabato mwenzake,akasema ataolewa muda wowote but its about a year now sioni dalili...
Ndugu zangu,ofisini kuna staff mwenzangu amejiunga na hiyo DECI,sikumuamini wakati alipojaribu kunishawishi na mimi nijiunge na hiyo organization,but after reading this article na kugundua kuna ulokole ndani ya hiyo deci, kidogo napata mashaka sababu hata huyo mtu nae pia ni mlokole,so i still...
Tetesi ni sehemu ya maisha ya binadamu,so sioni cha ajabu kwani hata mwenyewe jumapili nilisikia kwamba liyumba nae kafa but mpaka leo kimya.so ni tetesi tu
Hiyo ndio maana ya peoples power,kama kiongozi anakiuka katiba lazima protest iwepo kutoka kwa wananchi,tuliona Thailand na sasa madagascar,so watanzania tunaweza kujifunza kitu.
Hii picha ina maana dunia ni mchanganyiko wa vitu vingi kuanzia siasa,michezo,mazingira na kila kitu kwa sababu picha hii inajumuisha kila kitu kinachofanyika duniani na kuifanya dunia izunguke.
Claus barbie Mohamed si mungu bali ni mjumbe/mtume aliyetumwa na mwenyezi mungu kwa ajili ya kueneza dini,mungu ni mmoja ambaye hajazaa wala kuzaliwa na wala hakuna afananaye so have some respects on that.
Mike massage yako haiko sahihi coz people like you ndio mnaosababisha hayo matatizo,inaelekea una chuki na uislamu ndio maana umeandika rubbish words,kwa kukusaidia mahakama ya kadhi ni sehemu ya maelezo ya kwenye kitabu kitakatifu cha qur aan,kama ilivyo bible na wakristo wanafuata miongozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.