bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
Ukishindwa Ku-deliver kujiuzulu its Fine...Kuna wabongo wetu ambao hawajapewa nafasi ili tuone Vipaji vyao...!!!
Mambo ya kufikishwa Mahakamani any person anaweza..Ikiwa Mtikila anaweza sembuse wengine washindwe....Kupelekwa mahakamani hakutegemei upo ktk Kiti au Umejiuzulu...!!!
Ingependeza sana kama mtu akishindwa kudeliver akiwa anajiuzuru. Hawa jama hatakama hawaperform hawajiuzuru mpaka raia wawavalie njuga ndio wanatoka tena kwa shida sana. Anyway tutasikia kama kweli kajiuzuru au la. Binafsi nilimshangaa Rais alipopinga kujiuzuru kwake kipindi cha mwanzo kwa kuwa sikuona anafanya nini cha kumbembeleza aendelee kuchakaza tanesco na wananchi kwa bill za ajabu ajabu zisizolingana na garama sahihi ya uzalishaji umeme.