Recent content by Kichwa cha panz

  1. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Wanawake wasionivutia kabisa 2016

    Nimecheka leo walahi Vitambi, mikorogo, mawigi, kunyoa nyusi na kizichora na piko, walevi, walafi, wapenda ligi, walalamikaji na wajuaji, nakadhalika .. wote hawa wanaweza kubadilika ila wenye chuchu/kubwa/ makalio flat/ milio ya ajabu wakati wa majamboz nakadhalika... hawa hawana jinsi ya...
  2. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

    Yaani mkuu Matumbo nimeshindwa kukugongea like sijakiona kitufe, umehit the bull aisee.. yaani mabinti wa bongo asilimia kubwa bureeeee kabisa bureeeeee haswa kwenye maswala ya harufu, kuna dada mmoja alikuwa ananuka kikwapa balaa nikawa najiuliza ivi yeye haisikii hiyo harufu na alivo smart...
  3. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Kushuka kwa nauli jijini dar

    Unatafutia watu ban wewe mpuuzi..sijui hujapata chuo au? Mana form 4 na 2 wako busy wanajiandaa na mitihani, waliochaguliwa vyuoni wako busy na orientation na registration sasa wewe nadhani hujachaguliwa popote no wonder comment yako inajieleza
  4. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Luninga kwenye chumba cha kulala

    Majirani zangu Safari_ni_Safari na Kiteitei nawaunga mkono NAMNAANI ni noma mie nilipata aibu ya mwaka baada ya kumpeleka mkwe wa jamaa yangu pale si akataka kuangalia news, ile nawasha tv duh nilijisikia nimedhalilika yaani sitasahau
  5. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Sophia Simba: CHADEMA wanatumiwa kuanzisha vita na Mataifa ya nje ili yapate soko la Silaha

    Inahusika na nini? Malizia sentensi yako tukuelewe maana huyu mama karopoka vingi:help:
  6. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Wadada na nguo fupi!!!

    Wanaonikera ni wale wanaume wanaoshadadia na kusisitiza wake/gf zao wavae hivo vijinguo kisa mkewe ana umbile zuri, sijui miguu mizuri afu kesho kutwa akitongozwa na hao wanaoiona hiyo miguu na mapaja na manyonyo unaanza kujifanya kuleta ukali kwa mkeo/gf eti hupendi sijui awe na mazoea sijui na...
  7. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Tanzania yasaini mikataba mitano na China; mafanikio ziara ya Pinda

    Yaani viongozi wetu kwa kusaini mikataba kwa kweli nawapa heko, ingekuwa kila mkataba unafanyiwa evaluation na mwisho wa siku anawajibishwa aliesaini kwa matokeo mabaya na negligence yake tena kwa adhabu kali sidhani kama viongozi wangesaini hovyo hovyo kama wanavofanya kusaini mikataba hata...
  8. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Kigali became the first city in East Africa to launch free wireless Internet

    Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rwanda kwa hili nampa kudos Kagame, lakini watu humu wanaponda kila kitu jamani ni hatua kapiga tujikongoje na sie tukiweza tupige hata kama haitokuwa kama ya Kagame basi tupige hatua kwenye kitu kingine. Nakubaliana na msemo wa Nyani ngabu "Miafrika...
  9. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Ninampenda sana lakini najilazimisha kumsahau

    My analysis ni kwamba bwana hamasisha sio kwamba unampenda huyo wa elimu ndogo bali unamtamani kimaumbile na pengine ni mwanariadha mzuri tu wa mbio ndefu za sita kwa sita, kwa maana nyingine anasatisfy you sex life so mkeo mwenye elimu bora kazidiwa na mwenye elimu ndogo. Pili hata mkeo ulienae...
  10. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Ramani ya Nyumba hii Inauzwa kulipia HESLB kwa tuliokosa Mkopo wa vyuo vikuu

    kazi nzuri nitaku-pm jirani tuongelee swala hilo mana na mie ni muhitaji wa ramani
  11. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania US Singer & Actress Whitney Houston Dies Aged 48

    Wapendwa nimeisoma hii habari ya kifo cha Whitney nikastuka sana na sikuamini kama kweli gwiji la high pitch note ametutoka! Amekutwa amekufa hotelini Beverly Hilton huko LA. Chanzo cha kifo chake bado kinachunguzwa... RIP Whitney
  12. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania My confession: Nilimla denda demu wa rafiki yangu

    Tafuta vijana wajifanye vibaka wamuibie simu huyo demu hiyo ndo dawa pekee kwishnei... acha kuuguza kichwa kama hizo sms kazitunza kwenye simu na anazitumia kama chambo!
  13. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Eti Wazungu -nyie dada zetu chonde!

    Kwani Mungu aliumba moyo wa kidhungu na wa kiafrika? Nachoamini ni kuwa feelings, emotions, passion nakadhalika vinaathiriwa na mazingira! uzungu ni rangi tu, labda kama wadada zetu wanataka kutuongezea kizazi cha mashombe (point 5) ntawaelewa sana tena saaaaaaanaa ila sio kwa sababu ya...
  14. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali,binti kagundua mme mtarajiwa anaigiza ulokole, kumbe .......!

    Toeni ripoti kwa mamlaka husika kuhusu jamaa kama kweli ni muuza unga na atafatiliwa tu. Pili huyo binti amkatae altareni kama hakuna njia mbadala maana akisema I DONT badala ya I DO inaweza kusaidia mambo yasiendelee mbele.
  15. Kichwa cha panz

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Muswada wa katiba mpya wasomwa

    Uandishi wa namna hii hunichosha sana kusoma na kunifanya nipoteze ladha ya kusoma hata kama kilichoandikwa kina point.. Kuanzia kichwa cha habari cha mtoa mada hii kero tupu. Mods unganisheni hizi topic zimeshakuwa tatu au zaidi na zote zinaongelea kitu hicho hicho.. Plz
Back
Top Bottom