Kushuka kwa nauli jijini dar

Kushuka kwa nauli jijini dar

Haijashushwa bali ndiyo bei yake. Makondakta huwa wanakata sh 500 kwa kuwa
kuna usumbufu wa kurudisha chenji ya sh 50, lakini kila unakotozwa sh 500
elewa kuwa umeibiwa sh 50. Habari ndo hiyo...

Lo! Sikutegemea
 
hahahahahahaha Valuer hahaha
 
Last edited by a moderator:
heeee nauli ya daladala ndio nini?

Unatafutia watu ban wewe mpuuzi..sijui hujapata chuo au? Mana form 4 na 2 wako busy wanajiandaa na mitihani, waliochaguliwa vyuoni wako busy na orientation na registration sasa wewe nadhani hujachaguliwa popote no wonder comment yako inajieleza
 
Leo nimepanda daladala kutoka ninakoishi ambapo kwa kawaida huwa tunatozwa nauli ya 500 lakini leo nimetozwa 450 na baada ya kuliza na kufanya kautafiti kadogo nikaambiwa kwamba nauli imeshushwa jijini dar kuanzia leo,
Wana JF wenye taarifa sahihi tafadhar

Nauli za Daladala hizi hapa.
 

Attachments

Nauli za Daladala hizi hapa.
Tunashukuru mkuu kwa kutimiza wajibu wako Kama MTANZANIA.
Nafikiri itakuwa busara kwa kila Raia kuwa na copy ya Ruti inayomhusu. Ili ikitokea Hujuma au wizi wa hao makondakta na madereva waweze kutoa taarifa katika vyombo vya dola ili hao Majangiri wa Ruti waweze kushughulikiwa mapema.PAMOJA TUNAWEZA.
 
Nasema asanteni sana sana Sumatra, hawa jamaa wametuibia sana tena leo nimewaona jamaa wa sumatra pale Posta Mpya wakiuliza nauli kwa abiria kutoka Mbagala! nilifurahi sana sana hasa namna mtu waliyekuwa wanamwita shiro alivyokuwa anawabana makondakta hawa vibaka.
 
Back
Top Bottom