Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Jamaa ni mzushi..route ni dar-tabora-kigoma/mza-dar. So abiria wa tbr anaekuja dar anapanda tbr afu anaenda mpk kgm/mza then moja kwa moja dar.
hiyo niliyo bold najaribu kucheki na airlines zote kama wana rooute ya hivo ..maana sijawahi kuona mimi..yaani unakuja dar kwanza halafu unaenda mwanza halafundo unakuja dar tena..khaaaa