My confession: Nilimla denda demu wa rafiki yangu

Jamaa ni mzushi..route ni dar-tabora-kigoma/mza-dar. So abiria wa tbr anaekuja dar anapanda tbr afu anaenda mpk kgm/mza then moja kwa moja dar.
hiyo niliyo bold najaribu kucheki na airlines zote kama wana rooute ya hivo ..maana sijawahi kuona mimi..yaani unakuja dar kwanza halafu unaenda mwanza halafundo unakuja dar tena..khaaaa
 
Tafuta vijana wajifanye vibaka wamuibie simu huyo demu hiyo ndo dawa pekee kwishnei... acha kuuguza kichwa kama hizo sms kazitunza kwenye simu na anazitumia kama chambo!
 
kosa ulituma sms...ukishaharibu usiache evidence,we ungemrukia hewani...kazi kwako sasa.kuna msemo unasema 'bros before ******'
 
Akikuambia anaenda kusema lengo lake kukutisha sasa we unatakiwa usiogope manake ataona kigezo we mwambie kaseme!
 
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake, sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye, tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu.

Kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili, sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga.

Sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar.

Sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI


kua mwanaume.....kaa chini na rafiki yako mueleze kweli ilivyokua kwani si "kiss" tu...kama ulikula mzigo hapo ndo noma !!! mwambie t was an accident nd hukukusudia kabsa na ulikua very high....kisha mtafute namna na kumtega huyo dem aumbuke !!! I'm sure ur friend atakuelewa sana (kama ni msomi) kuliko akija kujua baadae sana atajenga chuki na hatokuamini tenaaa !!! The sooner the better. Ingawa thread yako umejipaisha sanaa kwenye maswala ya ndege. Ukipanda Qatar airways, air bus au private jet cjui itakuaje usije ukaandika kwenye majukwaa yotee !!!! hahahahaha

Au jaribu kumtumia mtu mwingine avizie phone yake afute inbox yake nzima then umlipe kitu kdgo !!!
 
Mweleze rafiki yako story hii.

Kwa maelezo yako kuwa;
Ulisafiri na demu wa rafiki yako na ndege ikachelewa, rafikiyo huwa mnapitiana kwenda mazoezini, na huwa mnakutana akiwa na demu wake; huoni kwamba kuna uwezekano wa jamaa kutambua kukutambua? Kama demu alimweleza jamaake kuwa mlipanda ndege moja frm ... To .... Na ndege ilichelewa alafu huyo jamaa akapitia hii post yako, kuna siri tena hapo?
Labda hiyo story uwe umeitunga.
Ni wazo langu tu
 
Mwambie kweli mshkaji wako na imani atakuelewa!Lkini siku unakwenda kumwambia ongozana na demu wako ili kama jamaa akikataa kukusamehe mwambie na yeye amle denda demu wako!Ova!!

Nawasilisha!!
 
Kaa mbali sana na huyo dada, hata ukiwa nae anaweza kufanya kwa mtu mwingine kam alivyofanya kwako. ULEVIIII NOMAAAAAAAAAA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom