Wanawake wasionivutia kabisa 2016

Wanawake wasionivutia kabisa 2016

wanawake vilaza wanakera sana. hata awe nadigrii unakuta hajui kitu dunia inavyokwenda ye ni movie za kikorea tu.
 

Attachments

  • 11849846_1502264946752493_432700664_n.jpg
    11849846_1502264946752493_432700664_n.jpg
    27 KB · Views: 44
mi wigi! Mungu amewapa nywele nyie mnajiwekea mi wigi ya misukule! mnajipendekeza kwa wazungu! mnatishaga kweli na midude yenu iyo kichwani!
 
mi wigi! Mungu amewapa nywele nyie mnajiwekea mi wigi ya misukule! mnajipendekeza kwa wazungu! mnatishaga kweli na midude yenu iyo kichwani!
unapaka lakini akipita mwenye kiwigi tena kilichovunda unamkodolea macho na wakwako hela ya saluni unampa mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wote mliotuponda najua ndo mnavyovipenda mnazuga tuu
 
Hiyo Number 4 nakuunga mkono kabisa! Hivi wanawake mbona hamjiamini na uasilia wenu? Busy kumkosoa Mungu!!! Ninawachukia sana wanawake wanaojichubua!!! Khaaaaa! Aibu yao!!!🙁🙁🙁🙁
Kama mie jamani mwanamke anayejichubua huwa simwelewi kabisa na hata mwanamme anayamchukua mwanamke aliyechibua namshangaa........

Wanawake ngozi si kitu cha kukifanyia majaribio tunza ngozi yako ipende hivyo ilivyo
 
unapaka lakini akipita mwenye kiwigi tena kilichovunda unamkodolea macho na wakwako hela ya saluni unampa mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wote mliotuponda najua ndo mnavyovipenda mnazuga tuu
unatakiwa uwe natural! mnalazimisha kuwa na nyele ambazo hamna! iyo sio akili bhana! sikuizi tunapenda wanawake natural sio artificial!
 
Kwasababu ni swala la kuvutia tu,basi tuongeze..

12. Wenye tunyonyo kama ndo tunaota kumbe wanamiaka thelathini...hawavutii kabisa
Kuna vitu vipo ndani ya uwezo wa binadam na vingine havipo......hili lako ni mojawapo......na nyie ndo mnafanyaga baadhi ya wanawake wasijiamini kutokana na maneno yenu haya......
 
unatakiwa uwe natural! mnalazimisha kuwa na nyele ambazo hamna! iyo sio akili bhana! sikuizi tunapenda wanawake natural sio artificial!
Nyie mnasema tuu hapa muonekane lakini nyuma ya pazia madem zenu full artificial kuanzia Kucha hadi kope...mwenyewe uckute artificial[emoji85]
 
Nimecheka leo walahi
Vitambi, mikorogo, mawigi, kunyoa nyusi na kizichora na piko, walevi, walafi, wapenda ligi, walalamikaji na wajuaji, nakadhalika .. wote hawa wanaweza kubadilika ila wenye chuchu/kubwa/ makalio flat/ milio ya ajabu wakati wa majamboz nakadhalika... hawa hawana jinsi ya kujibadili hiyo ni nature jamani tusianze kumkufuru na Mungu kwa vitu vinigne tuwe na staha..

Nimecheka mnoo.🙂
 
KITAMBI NINACHO SAAANA NYAMA CHOMA NA CASTLE KWA SAAAANA HAPA JOB WAMEANZISHA PROGRAM YA MAZOEZI NIMEITOLEA NJE NAKIPENDA KITAMBI CHANGU NA NINAKIGHARAMIA NYAMA NA BIA ASIYEKIPENDA ATAJIJUA
FB_IMG_1453368014773.jpg
 
KITAMBI NINACHO SAAANA NYAMA CHOMA NA CASTLE KWA SAAAANA HAPA JOB WAMEANZISHA PROGRAM YA MAZOEZI NIMEITOLEA NJE NAKIPENDA KITAMBI CHANGU NA NINAKIGHARAMIA NYAMA NA BIA ASIYEKIPENDA ATAJIJUA
Ndio maana mnatusumbua wakati wa kushuka bus
 
Back
Top Bottom